Kwanza jifunze kuandika, "wameolewa au raha" ni"wameolewa au laa"Jamaa mmoja bwana ana swali karibia kila siku, ifikapo mchana na hata jioni uwa namuona anaswali katika msikiti mmoja,
Huyu jamaa ana familia na watoto ila anachonishangaza ni kitombi, anatongoza mabinti wadogo wazuri bila kujali wameolewa au raha. Alafu mchana na jioni anaenda kuswali msikitini.
Katika uislamu, je jambo hili ni sawa. Kutongoza tongoza wanawake wakati kila siku wewe ni mtu wa ibada. Au ni bora uwe kitombi tu ujulikane?
We bado hujatembea nenda Tanga huko kutwa wanashinda msikitini na wana masingda makubwaa kwenye makomwe ila madrug dealer hatari sanaJamaa mmoja bwana ana swali karibia kila siku, ifikapo mchana na hata jioni uwa namuona anaswali katika msikiti mmoja...
Wanaemwona anafanya hayo na kumwachia ndiyo wakosaji.Jamaa mmoja bwana ana swali karibia kila siku, ifikapo mchana na hata jioni uwa namuona anaswali katika msikiti mmoja...
Wangapi hao wanaojua? Mbona mimi ni muislamu na sijui hilo?Wanajua sala hazina umuhimu kwao ni sahihi mkuu
Vipi kuhusu Makafiri wenzako? Wote ni wasafi?We bado hujatembea nenda Tanga huko kutwa wanashinda msikitini na wana masingda makubwaa kwenye makomwe ila madrug dealer hatari sana
Afghanistan ni wazalishaji wakubwa namba moja duniani wa opium inayotoa Heroine.We bado hujatembea nenda Tanga huko kutwa wanashinda msikitini na wana masingda makubwaa kwenye makomwe ila madrug dealer hatari sana
Vatican Papa ameruhusu mashoga kubarikiwa,hata waliobadili jinsia nao wanabarikiwa,kifupi mmeruhusiwa kupelekeana moto,Afghanistan ni wazalishaji wakubwa namba moja duniani wa opium inayotoa Heroine.
Hoja yangu haitambui dini mkuuWangapi hao wanaojua? Mbona mimi ni muislamu na sijui hilo?