Watu wanaotumia akili nyingi kwenye mambo yao

Watu wanaotumia akili nyingi kwenye mambo yao

Hyo mapacha kuchukiw bila sababu nimeona sana kazn kwangu hadi unajiulza What the hell nimewafanyia baya gan[emoji850][emoji850]


Na Kweli hapo mapacha sisi hutumia akil sana kuamua na kufany mambo yetu
 
Haupo sawa wewe, Imani ni nini? Huwezi sema alichoamini Einstein ndicho wanafizikia wanaamini unajielewa kweli? Unajua kuwa kuna mambo hata huyo Einstein alipingwa,
Kauli yako mwenyewe:

^Usinaswe na mafundisho ya imani ambayo ni matokeo ya fikra za watu wengine^

Kwako, fikra za watu ni upuuzi. Kwa hiyo, hata sayansi kwako ni upuuzi.

Jitafakari wewe hamnazo.
 
Nyota isiyo ya kawaida iliwavutia “mamajusi” kutoka Mashariki, na mwishowe iliwaongoza kwa mtoto mchanga Yesu.

Usiishi kifala hii dunia inamengi yamefichwa
???
Usinaswe na mafundisho ya imani ambayo ni matokeo ya fikra za watu wengine 🤔
Bila shaka hujui unachozungumza. Unathibitisha wazi u mpuuzi tu.
 
Mimi sipo kwenye hizo tarehe na majina

Wasifu wangu

Tangu nikiwa shule(except primary) nimekua mtu wa kupendwa sana na watu Yani nazungumzia Ile mtu anakupenda bila sababu...nimekua kiongoz kuanzia secondary mpaka chuo na huko chuo nilikua na mvuto Ile mbayaaaaa Yani watu wanakukubali mpaka mwenyew unajijua kwamba hapa ninakubalika sana

Baada ya kuingia mtaani mambo yamebadilika watu wanaishia na Mimi Kwa unafki tu kwasababu wengi wanahisi mm ni usalama kutokana na life style yangu japokua hiyo life style ndio ilikua inanibeba sana kipindi Cha nyuma...... Kwenye jamii usiombe watu wakuhisi wewe ni usalama na wakati sio, utaishi maisha ya tabu sana


I hope hata humu wapo watu wanaopitia hali kama yangu but all in all tuishi nao tu
 
Mimi sipo kwenye hizo tarehe na majina

Wasifu wangu

Tangu nikiwa shule(except primary) nimekua mtu wa kupendwa sana na watu Yani nazungumzia Ile mtu anakupenda bila sababu...nimekua kiongoz kuanzia secondary mpaka chuo na huko chuo nilikua na mvuto Ile mbayaaaaa Yani watu wanakukubali mpaka mwenyew unajijua kwamba hapa ninakubalika sana

Baada ya kuingia mtaani mambo yamebadilika watu wanaishia na Mimi Kwa unafki tu kwasababu wengi wanahisi mm ni usalama kutokana na life style yangu japokua hiyo life style ndio ilikua inanibeba sana kipindi Cha nyuma...... Kwenye jamii usiombe watu wakuhisi wewe ni usalama na wakati sio, utaishi maisha ya tabu sana


I hope hata humu wapo watu wanaopitia hali kama yangu but all in all tuishi nao tu
Kiongozi unaishije hadi watu wanakuona tofaut.
Nataka kujua mavaz, ongea yako yaan msisitizo, au maongezi yako aina ya kazi unazopendelea kufanya
 
Kiongozi unaishije hadi watu wanakuona tofaut.
Nataka kujua mavaz, ongea yako yaan msisitizo, au maongezi yako aina ya kazi unazopendelea kufanya
Stori inaanzia mbali kidogo

Miaka ya nyuma kipindi mwili unaingia kwenye utu uzima niliishi sehem Fulani(Kwa wavaa kobasi).. nilibahatika kupitia michezo ya karate na pamoja na kupiga chuma(mwili wangu ukawa wa kimazoez ). Pia nilibahatika kuujua uislamu wakat mm sio muislam, hali hyo ilipelekea Kujua vitu vingi na kuweza kufit angle nyingi isipokua mijadala ya mpira

Miaka ikaenda na hayo maisha yakapita.

Nilipomaliza chuo hapa ndo kimbembe kilipoanzia

Nilibahatika kupata kazi mahala Fulani (nipo mpaka Leo). Kwa mshahara sihaba nalipwa vizuri

Huku mitaani hakuna anayejua mm nafanya kazi gani na napata wapi Hela za kuwa stable muda wote

Mm ni aina ya watu tukiwa na Hela hujui na tusipokuwa na Hela pia huwezi Kujua namaanisha naishi maisha flat yaan kama ni kunywa bia ni siku zote hakuna kufulia


Sasa ukirud hapo juu nimesema vitu ambavyo vimeweka doa kwenye mwili wangu(mazoez japo niliacha kitambo pamoja na Kujua vitu vingi)

Kwaiyo huku mtaani nikikaa na mtu tukapiga stori na ukijumlisha na life style yangu hakuna mtu anayenielewa. Sometimes inafikia hatua ukifika sehem watu wanabadilisha stor na kukaa kimya


Kwa ufupi ndo ivo ndugu yangu
 
1. Watu wanaotumia akiri nyingi kwenye mambo yao.

NDOO ( K. W )
MAPACHA ( C. O )
MSHALE ( I. U )

Au tarehe:
11. 23. 3. 15. 9. 21.

2. Watu wenye nguvu au mamlaka FULANI.

NG'OMBE ( B. N. Z )
SIMBA ( E. Q )
NG'E ( H. T )

Au tarehe:
2. 14. 26. 5. 17. 8. 20. 29.

3. Watu wenye UTU, ustaarabu na moyo mwema kwa watu.

NDOO ( K. W )
NG'OMBE ( B. N. Z )
SAMAKI ( L. X )

Au tarehe:
11. 23. 2. 14. 26. 12. 30. 24.

4. Watu wabaya Sana ukiwachokoza ( hatari )

NG'E ( H. T )
MAPACHA ( C. O )
NG'OMBE ( B. N. Z )

Au tarehe:
8. 20. 3. 15. 2. 14. 26. 29.

5. Watu wanaojulikana sana na watu hata mitaani. Watu maarufu.

SIMBA ( E. Q )
MIZANI ( G. S )
MSHALE ( I. U )

Au tarehe:
5. 17. 7. 19. 9. 21. 30.

6. Watu wenye Mvuto mkali kwa watu hata wakipita mbele za WATU.

NG'E ( H. T )
PUNDA ( A. M. Y )
MBUZI ( J. V )

Au tarehe:
8. 20. 1. 13. 25. 10. 22.

7. Watu ambao mara nyingi HUWA kwenye dimbwi la mawazo. Ndio maana hupenda watu wanaochekesha Ili kuwatoa huko.

KAA ( D. P )
SAMAKI ( L. X )
MIZANI ( G. S )

Au tarehe:
4. 16. 12. 24. 7. 19. 30.

8. Watu ambao hujifanyaga machizi au hupenda kujitoa ufahamu.

MAPACHA ( C. O )
MSHALE ( I. U )
PUNDA ( A. M. Y )

Au tarehe:
3. 15. 9. 21. 1. 13. 25. 30.

9. Watu wenye mioyo migumu wakati mwingine.

MSHALE ( I. U )
KAA ( D. P )
NDOO ( K. W )

Au tarehe:
9. 21. 4. 16. 11. 23. 30.

10. Watu wanaochukiwa wakati mwingine bila hata sababu.

NG'E ( H. T )
MAPACHA ( C. O )
MASHUKE ( F. R )

Au tarehe:
8. 20. 3. 15. 6. 18. 30.

11. Watu wanaotumia akiri nyingi / pia wanaweza kupatwa na matatizo ya akiri wakizidisha.

NG'E ( H. T )
MASHUKE ( F. R )
MBUZI ( J. V )

Au tarehe:
8. 20. 6. 18. 10. 22. 29.

12. Watu wanaopendwa na kumvutia KILA mtu anapokuwa karibu nao. Vipenzi vya watu.

SAMAKI ( L. X )
MSHALE ( I. U )
MIZANI ( G. S )
NG'OMBE ( B. N. Z )

Au tarehe:
12. 24. 9. 21. 7. 19. 2. 14. 26. 29. 30.

By magical power
[emoji107]
 
Back
Top Bottom