Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 2,802
- 7,551
Wewe ndo mm kabisaa😅Naona tarehe yangu imejitokeza mara tatu,kwahiyo nipo magruop 😀atatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo mm kabisaa😅Naona tarehe yangu imejitokeza mara tatu,kwahiyo nipo magruop 😀atatu
Nyota isiyo ya kawaida iliwavutia “mamajusi” kutoka Mashariki, na mwishowe iliwaongoza kwa mtoto mchanga Yesu.
Ndiyo, rais kaalikwa na papa.Kuna sababu ya kukuliza mkuu
Hii ndo ramli yenyewe.Hivi haya mambo huwa yana tofauti na wapiga ramli?
Kauli yako mwenyewe:Haupo sawa wewe, Imani ni nini? Huwezi sema alichoamini Einstein ndicho wanafizikia wanaamini unajielewa kweli? Unajua kuwa kuna mambo hata huyo Einstein alipingwa,
???Nyota isiyo ya kawaida iliwavutia “mamajusi” kutoka Mashariki, na mwishowe iliwaongoza kwa mtoto mchanga Yesu.
Usiishi kifala hii dunia inamengi yamefichwa
Bila shaka hujui unachozungumza. Unathibitisha wazi u mpuuzi tu.Usinaswe na mafundisho ya imani ambayo ni matokeo ya fikra za watu wengine 🤔
unatumia konyagi ndugumkuu unashusha nondo hatari hadi najikuta nataka kulia tu
hapana mkuu nikitumiaga konyagi huwaga nakua na hasira mda wote ko nimeacha sku hizi situmii kilevi chochote vipi kuna offer auunatumia konyagi ndugu
Huwezi nielewa kwa ufahamu huo, jinsi ulivyo ndezi unashindwa kujenga hoja unatukana.???
Bila shaka hujui unachozungumza. Unathibitisha wazi u mpuuzi tu.
Kiongozi unaishije hadi watu wanakuona tofaut.Mimi sipo kwenye hizo tarehe na majina
Wasifu wangu
Tangu nikiwa shule(except primary) nimekua mtu wa kupendwa sana na watu Yani nazungumzia Ile mtu anakupenda bila sababu...nimekua kiongoz kuanzia secondary mpaka chuo na huko chuo nilikua na mvuto Ile mbayaaaaa Yani watu wanakukubali mpaka mwenyew unajijua kwamba hapa ninakubalika sana
Baada ya kuingia mtaani mambo yamebadilika watu wanaishia na Mimi Kwa unafki tu kwasababu wengi wanahisi mm ni usalama kutokana na life style yangu japokua hiyo life style ndio ilikua inanibeba sana kipindi Cha nyuma...... Kwenye jamii usiombe watu wakuhisi wewe ni usalama na wakati sio, utaishi maisha ya tabu sana
I hope hata humu wapo watu wanaopitia hali kama yangu but all in all tuishi nao tu
Stori inaanzia mbali kidogoKiongozi unaishije hadi watu wanakuona tofaut.
Nataka kujua mavaz, ongea yako yaan msisitizo, au maongezi yako aina ya kazi unazopendelea kufanya
[emoji107]1. Watu wanaotumia akiri nyingi kwenye mambo yao.
NDOO ( K. W )
MAPACHA ( C. O )
MSHALE ( I. U )
Au tarehe:
11. 23. 3. 15. 9. 21.
2. Watu wenye nguvu au mamlaka FULANI.
NG'OMBE ( B. N. Z )
SIMBA ( E. Q )
NG'E ( H. T )
Au tarehe:
2. 14. 26. 5. 17. 8. 20. 29.
3. Watu wenye UTU, ustaarabu na moyo mwema kwa watu.
NDOO ( K. W )
NG'OMBE ( B. N. Z )
SAMAKI ( L. X )
Au tarehe:
11. 23. 2. 14. 26. 12. 30. 24.
4. Watu wabaya Sana ukiwachokoza ( hatari )
NG'E ( H. T )
MAPACHA ( C. O )
NG'OMBE ( B. N. Z )
Au tarehe:
8. 20. 3. 15. 2. 14. 26. 29.
5. Watu wanaojulikana sana na watu hata mitaani. Watu maarufu.
SIMBA ( E. Q )
MIZANI ( G. S )
MSHALE ( I. U )
Au tarehe:
5. 17. 7. 19. 9. 21. 30.
6. Watu wenye Mvuto mkali kwa watu hata wakipita mbele za WATU.
NG'E ( H. T )
PUNDA ( A. M. Y )
MBUZI ( J. V )
Au tarehe:
8. 20. 1. 13. 25. 10. 22.
7. Watu ambao mara nyingi HUWA kwenye dimbwi la mawazo. Ndio maana hupenda watu wanaochekesha Ili kuwatoa huko.
KAA ( D. P )
SAMAKI ( L. X )
MIZANI ( G. S )
Au tarehe:
4. 16. 12. 24. 7. 19. 30.
8. Watu ambao hujifanyaga machizi au hupenda kujitoa ufahamu.
MAPACHA ( C. O )
MSHALE ( I. U )
PUNDA ( A. M. Y )
Au tarehe:
3. 15. 9. 21. 1. 13. 25. 30.
9. Watu wenye mioyo migumu wakati mwingine.
MSHALE ( I. U )
KAA ( D. P )
NDOO ( K. W )
Au tarehe:
9. 21. 4. 16. 11. 23. 30.
10. Watu wanaochukiwa wakati mwingine bila hata sababu.
NG'E ( H. T )
MAPACHA ( C. O )
MASHUKE ( F. R )
Au tarehe:
8. 20. 3. 15. 6. 18. 30.
11. Watu wanaotumia akiri nyingi / pia wanaweza kupatwa na matatizo ya akiri wakizidisha.
NG'E ( H. T )
MASHUKE ( F. R )
MBUZI ( J. V )
Au tarehe:
8. 20. 6. 18. 10. 22. 29.
12. Watu wanaopendwa na kumvutia KILA mtu anapokuwa karibu nao. Vipenzi vya watu.
SAMAKI ( L. X )
MSHALE ( I. U )
MIZANI ( G. S )
NG'OMBE ( B. N. Z )
Au tarehe:
12. 24. 9. 21. 7. 19. 2. 14. 26. 29. 30.
By magical power
Jamaa kaandika pumba mno, naijua kidogo hii elimu.Japo najua jamaa ameandika ujinga mtupu, lakini ulichosema nawe ni ujinga mwingine.
Elimu unayofundishwa shule siyo ^matokeo ya fikra za watu^?
Mbishi huyoo kama kisiki cha mpingo.Jamaa kaandika pumba mno, naijua kidogo hii elimu.
👉Na mwamba kavurunda aisee 🤒