Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

Simaanishi kiongozi awe Rais ama namna gani, uongozi upo kwa namna nyingi. Waweza kuwa ndiye mwenye kutoa maelekezo au kutatua changamoto fulani ukawapa wengine suluhu wakaifanyie kazi(nimekosa neno sahihi zaidi la kiswahili kuliweka hapa)
Concept yako nimeielewa mkuu! Lakini kwanini uishi?
 
Mkuu nyabhingi kwanini posts zako nyingi hua zinamu-attack Yesu Kristo tu lakini sio Siddhartha Gautama au Muhammad bin Abdallah
 
Mkuu nyabhingi kwanini posts zako nyingi hua zinamu-attack Yesu Kristo tu lakini sio Siddhartha Gautama au Muhammad bin Abdallah
nitakurahisishia:
dr dre,eminem na 50 cent
50 cent anawategemea dre na eminem kupata hela
eminem anamtegemea dre kupata hela lakini hamtemei 50
dre hamtegemie eminem wala 50 kupata hela
ukitaka kumuua njaa 50,mdondoshe dr dre
dre ni yehova,eminem ni yesu na 50 ni mohamed ibn abdullah
natumai umenielewa
 
nitakurahisishia:
dr dre,eminem na 50 cent
50 cent anawategemea dre na eminem kupata hela
eminem anamtegemea dre kupata hela lakini hamtemei 50
dre hamtegemie eminem wala 50 kupata hela
ukitaka kumuua njaa 50,mdondoshe dr dre
dre ni yehova,eminem ni yesu na 50 ni mohamed ibn abdullah
natumai umenielewa
Kwahiyo target yenu Yesu? Why Yesu??
 
kwa sababu yesu ni fictional character that never existed
was invented by the roman empire for political endeavors
Unaweza thibitisha kua Yesu ni fictional character? ?

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Hata uongo ni ithibati inayoweza isiwe na shaka kwa kaliba fulani ya watu au jamii.

Hii ni kwa muda ama wakati husika"

Hata ukweli unaweza kugeuka na kuwa uongo kutokana na muda ama wakati husika"

Ukweli=uongo inategemea na muda/wakati!
Ukweli ni ithibati isiyoacha shaka kwa kaliba fulani ya watu ama jamii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nitathibitisha vipi uwepo wa kitu ambacho hakijawahi kuwepoi?
Sasa kwanini unasema ni kitu ambacho hakijawahi kuwepo hafu unashindwa kuthibitisha kutokuwepo kwake??

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Sasa kwanini unasema ni kitu ambacho hakijawahi kuwepo hafu unashindwa kuthibitisha kutokuwepo kwake??

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
siwezi kuthibitisha uwepo wa kitu ambacho hakijawahi kuwepo
kuna stori kuwa baharini kuna samakimtu na baadhi ya watu wanaamini hivyo
ukweli ni kwamba ni hadithi ya kutunga tu,sawa na stori ya yesu
 
siwezi kuthibitisha uwepo wa kitu ambacho hakijawahi kuwepo
kuna stori kuwa baharini kuna samakimtu na baadhi ya watu wanaamini hivyo
ukweli ni kwamba ni hadithi ya kutunga tu,sawa na stori ya yesu
Mtume muhamadi je aliwahi kuwepo?

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Mtume muhamadi je aliwahi kuwepo?

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
i know what you are thinking
mimi sio muislam pia lakini historically mohamed aliexist,alikuwa ni killer flani,warlord aliyechinja watu wa kutosha kwa sababu zake za dominance akiwadanganya mazuzu na hekaya za allah
 
Back
Top Bottom