Ni wapi Yesu Kristo amesema ''Mimi Si Mungu"?
Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa. 16Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria. 17Hapo Yesu akasema, "Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi? 18Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?" 19Halafu akamwambia huyo mtu, "Simama, uende zako; imani yako imekuponya."
Kwanini Yesu hakumkemea huyu Msamaria kuwa asimsujudie kwa kuwa Yeye si Mungu?
Luka 17:15-19
Na tena Mungu ana pomleta mwanae, mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, anasema: “Malaika wote wa Mungu wamwabudu yeye.”
Waebrania 1:6
Faizafoxy, ebu tuambie, ni nani anayepashwa kuabudiwa?
Hapo juu ktk Luka 17:15-19 huyu Msamaria aliyeponywa ukoma alirudi kumshukuru nani?