Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Sure mkuu. Sema Ile kukaa saiti kidogo unaseti na unachukua reading Mara baadaye unacheki back reading sijui bm yaani ni vurugu tupu[emoji23][emoji23][emoji23] hata kuseti mashine ya survey hujui laahaulaa mimi wakati namaliza form 4 nikatamani kwenda DIT nikajua nikitoka ale ntakua mtekinologi wa kiwango cha juu niliyoyakuta ni tofauti