Watu wangeshupalia suala la Katiba Mpya kama hili la Bandari tungefika mbali

Watu wangeshupalia suala la Katiba Mpya kama hili la Bandari tungefika mbali

BARDIZBAH

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2017
Posts
5,259
Reaction score
10,078
Ukitaka kujua hii nchi unafiki ni mkubwa, tazama tulivyo kidedea kuminyana na maswala ya bandari wakati swala la katiba (ambalo ndio source ya haya yote) tumesinzia.

CCM na katiba leo hii ndio imetufikisha hapa.

Tumeshindwa kudai katiba basi hata hili la bandari tutulie kimya, maana bado nguvu wanayo ya kufanya lolote.

Nyie mnaoshupaza mishipa ya shingo kudai bandari wakati jambo kubwa la katiba limewashinda.
 
Ukitaka kujua hii nchi unafiki ni mkubwa, tazama tulivyo kidedea kuminyana na maswala ya bandari wakati swala la katiba(ambalo ndio source ya haya yote) tumesinzia .

Ccm na katiba leo hii ndio imetufikisha hapa.
Tumeshindwa kudai katiba basi hata hili la bandari tutulie kimya, maana bado nguvu wanayo ya kufanya lolote.
Kenge nyie mnaoshupaza mishipa ya shingo kudai bandari wakati jambo kubwa la katiba limewashinda.
Swala bandari ni kubwa zaidi ya jatiba. Kwani hujashuhudia kwa katiba hii hii tu watawqla wanaikanyaga?? Hivi jiulize DP Word tumempa haki ya kuwekeza bandari zote za bahari na maziwa, bandari kavu na njia za uchukuzi??
Eti kukiwa na fursa ajulishwe yeye kwanza, hapo kuna fair competition kweli??? Haya malori unayoyaona utakuwa unapishana na ya DPWord. Wtz mtabaki kubeba viazi na ndizi bukoba
 
Back
Top Bottom