Watu wangu wa Azam nawaaaminia!

Watu wangu wa Azam nawaaaminia!

Simba SC akiwa na jambo lake hakuna wa kumzuia.. Tukutane Taifa.
 
Azam ana jambo lake la maana sana leo.
JamiiForums605260976.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale mnapojipa moyo baada ya kufurushwa makundi ya mabingwa cku si nnyingi na huko Conf mtafurushwa.
 
Pale mnapojipa moyo baada ya kufurushwa makundi ya mabingwa cku si nnyingi na huko Conf mtafurushwa.
Basi tutakuwa pamoja hapa home...hakuna mahali munaenda!!! Mtoke muende wapi?
 
Back
Top Bottom