FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
Mmepitisha bahasha kadhaa nini? Au mlilala pale Sinza sehemu flani hivi. Maanake Mgunda nae naskia ni mtaalam kweli.Leo tunawatimba, tumeshaweka mambo sawa.
Nfio kawaida yetu pamoja na ndumba!Mmepitisha bahasha kadhaa nini?
Wacha tuone! Nilijua tu mlilala na wafu kule...Nfio kawaida yetu pamoja na ndumba!
Ni Simba B nini?Unazungumzia hii Azam tawi la Simba?
Ni sangapi mkuu?Simba SC akiwa na jambo lake hakuna wa kumzuia.. Tukutane Taifa.
Ba Mkubwa, nimeambiwa eti Azam ni Simba B. Leo mnabadilishana herufi.Simba SC akiwa na jambo lake hakuna wa kumzuia.. Tukutane Taifa.
Leo Simba wanazibwa kinyeo.Azam fungeni hao simba ili kuondoa dhana kuwa ninyi ni simba B.
Saa moja kamili. Sio ya asubuhi asee...usije shangaa imekuwaje.Ni sangapi mkuu?
Kabisa mkuu !Ni Simba B nini?
Basi tutakuwa pamoja hapa home...hakuna mahali munaenda!!! Mtoke muende wapi?Pale mnapojipa moyo baada ya kufurushwa makundi ya mabingwa cku si nnyingi na huko Conf mtafurushwa.
Sawa, Team B leo mtajua ndio A.Kabisa mkuu !
Simba B(Azam) anafungwa 3-1 leoSawa, Team B leo mtajua ndio A.