Watu wanne wenye uwezo wa kuikabili CHADEMA hadi ikaomba poo ni Makonda, Nchimbi, Happi na Sabaya

Watu wanne wenye uwezo wa kuikabili CHADEMA hadi ikaomba poo ni Makonda, Nchimbi, Happi na Sabaya

Makonda kateuliwa hapo kupata sympathy ya wafuasi wa Magufuli
 
.

Vyuma vyote vilivyotengenezwa na Shujaa Magufuli vinarudi ulingoni kuongoza jahazi kuelekea Uchaguzi mkuu wa 2025,tuanze na the right hand man at the right time and place,jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni,Safari imeanza.

Hatimae yametimia,upele umepata mkunaji,tunamfahamu makonda kama mpiga chapuo mkuu,akiamua kusifia mtu anasifia kweli kweli,hapa lazima chadema wakimbie hadi vimvuli vyao maana kaja mwamba mwenyewe anayezijuwa siasa za nchi hii na mwenye kujiamini kama komandoo wa vita.

Chadema haina sera kwa sasa, walitegemea bandari na hata sasa operation yao ni bandari, sasa suala la bandari limeisha itabidi waje upya na operation nyingine mana ile 255 waliyotembea nayo imezikwa kilazima,

Shida ya pili ni kuwa Makonda anaonekana ni mtu wa Sukuma Gang,kwa hiyo kwa watu wa JPM jamaa ni hero wao hivyo utaona jinsi ambavyo watu wa JPM watavyompokea sana kwa nguvu, so utaona bado anakuja kuleta shida kwa CHADEMA ambao wao walitegemea team JPM wawapende,na tunakoenda usikute Polepole akarejeshwa ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 na hilo ndo litakuwa Pigo la mwisho kwa CHADEMA mana wanategemea mpasuko ndani ya CCM uwabebe lakini mpasuko umeshindwa,

Je yupo mtu wa kujibizana na Makonda,CHADEMA Kuna mtu wa kujibizana naye kweli? kaka yao Lissu Kila siku yuko zake Ulaya kula Robertson! huku akijisifia watoto wake kuzaliwa George Town,Marekani akiapa waje kugombea urais Marekani,huyu ndio Makamu wao taifa,mwenye hamu na Marekani akirudi Tanzania anasema yeye Mzalendo,ha ha idiot
We Pimbi,watu wanalia hali mbaya ya Uchumi,Nyie mko busy kupambana na CDM
 
Mimi sielewi, hivi lile tamko la kudhurumu uhai wa watu lililotolewa na Marekani lilifutwa lini? kama bado lipo, ccm watalikabili vipi kimataifa maana wamarekani walisha sema huyu Makonda ni dhulumati wa maisha ya watu.
Marekani hii inayolazimisha mpakuane vinyesi?,au?
 
.

Vyuma vyote vilivyotengenezwa na Shujaa Magufuli vinarudi ulingoni kuongoza jahazi kuelekea Uchaguzi mkuu wa 2025,tuanze na the right hand man at the right time and place,jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni,Safari imeanza.

Hatimae yametimia,upele umepata mkunaji,tunamfahamu makonda kama mpiga chapuo mkuu,akiamua kusifia mtu anasifia kweli kweli,hapa lazima chadema wakimbie hadi vimvuli vyao maana kaja mwamba mwenyewe anayezijuwa siasa za nchi hii na mwenye kujiamini kama komandoo wa vita.

Chadema haina sera kwa sasa, walitegemea bandari na hata sasa operation yao ni bandari, sasa suala la bandari limeisha itabidi waje upya na operation nyingine mana ile 255 waliyotembea nayo imezikwa kilazima,

Shida ya pili ni kuwa Makonda anaonekana ni mtu wa Sukuma Gang,kwa hiyo kwa watu wa JPM jamaa ni hero wao hivyo utaona jinsi ambavyo watu wa JPM watavyompokea sana kwa nguvu, so utaona bado anakuja kuleta shida kwa CHADEMA ambao wao walitegemea team JPM wawapende,na tunakoenda usikute Polepole akarejeshwa ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 na hilo ndo litakuwa Pigo la mwisho kwa CHADEMA mana wanategemea mpasuko ndani ya CCM uwabebe lakini mpasuko umeshindwa,

Je yupo mtu wa kujibizana na Makonda,CHADEMA Kuna mtu wa kujibizana naye kweli? kaka yao Lissu Kila siku yuko zake Ulaya kula Robertson! huku akijisifia watoto wake kuzaliwa George Town,Marekani akiapa waje kugombea urais Marekani,huyu ndio Makamu wao taifa,mwenye hamu na Marekani akirudi Tanzania anasema yeye Mzalendo,ha ha idiot
Kati ya hawa hakuna mwenye akili, hawa ni watu ambao wamekuwa wakitumia vyombo vya dola kwa matumizi mabaya.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hivo vyuma ni scraper tu, hawana uwe. Chadema ni imara
 
.

Vyuma vyote vilivyotengenezwa na Shujaa Magufuli vinarudi ulingoni kuongoza jahazi kuelekea Uchaguzi mkuu wa 2025,tuanze na the right hand man at the right time and place,jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni,Safari imeanza.

Hatimae yametimia,upele umepata mkunaji,tunamfahamu makonda kama mpiga chapuo mkuu,akiamua kusifia mtu anasifia kweli kweli,hapa lazima chadema wakimbie hadi vimvuli vyao maana kaja mwamba mwenyewe anayezijuwa siasa za nchi hii na mwenye kujiamini kama komandoo wa vita.

Chadema haina sera kwa sasa, walitegemea bandari na hata sasa operation yao ni bandari, sasa suala la bandari limeisha itabidi waje upya na operation nyingine mana ile 255 waliyotembea nayo imezikwa kilazima,

Shida ya pili ni kuwa Makonda anaonekana ni mtu wa Sukuma Gang,kwa hiyo kwa watu wa JPM jamaa ni hero wao hivyo utaona jinsi ambavyo watu wa JPM watavyompokea sana kwa nguvu, so utaona bado anakuja kuleta shida kwa CHADEMA ambao wao walitegemea team JPM wawapende,na tunakoenda usikute Polepole akarejeshwa ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 na hilo ndo litakuwa Pigo la mwisho kwa CHADEMA mana wanategemea mpasuko ndani ya CCM uwabebe lakini mpasuko umeshindwa,

Je yupo mtu wa kujibizana na Makonda,CHADEMA Kuna mtu wa kujibizana naye kweli? kaka yao Lissu Kila siku yuko zake Ulaya kula Robertson! huku akijisifia watoto wake kuzaliwa George Town,Marekani akiapa waje kugombea urais Marekani,huyu ndio Makamu wao taifa,mwenye hamu na Marekani akirudi Tanzania anasema yeye Mzalendo,ha ha idiot

Mkuu labda kwa kutumia mtutu wa bunduki/dola wanaweza, ila kama ni kwa kupangua na kupanga hoja one on one unatulisha matango pori!
 
Kwani chadema ndo anatawala nchi?

Yaani mnashindwa fanya mambo ya maana wakati mmetawala toka 1961 kisha mnaona kuwa chadema ndo adui yenu.

Fanyeni kazi zenu kwa ufasaha.

Ila maccm wote mkufwe
 
Kwa hiyo unataka kusema kwa sasa CCM imeishiwa watu wa maana na wenye akili kubwa mpaka kwenda kuokota hayo magarasa ili kuweza kuikabili CHADEMA?
Chama kiko hoi unaweza sikia abdul kawa mwenyekiti NEC,mama akili ndogo yule
 
Back
Top Bottom