Hii nchi kweli ina laana toka kwa Mwenyezi MunguKumesikika Uyui Tabora watu kutuhumiwa kula kwa urefu wa kamba zao.
Waziri Mkuu kaamuru wakamatwe kisha TAKUKURU wafanye uchunguzi. Hii imekaa je ikizingatiwa hawa ni watuhumiwa tu bado?
Hivi hawa TAKUKURU wenye kusubiria amri kama hizi hata kuna haja gani ya kuwa nao?
"Kwa rushwa ilivyotamalaki, PCCB na wengine wa hivyo wana umuhimu gani kuendelea kuwapo?"
Wananchi wa Wapi?
Atupe kwanza ripoti za kuungua kwa masokoHii nchi kweli ina laana toka kwa Mwenyezi Mungu
Ni kwanini, huyo Waziri Mkuu, anakomalia hicho kibanda cha milioni 11, wakati tulimuona akikaa kimya, wakati ule CAG alipotoa taarifa kuwa pesa ya kiasi cha Shs trillion 1.5 ikiwa "imechotwa" toka hazina?🥺
Chain ya pesa za miradi huanzia mbali juu kabisa lakini wanaokuja kuwajibishwa ni hawa vidagaa wa mwisho.. Haki ikiamua kutendeka ikafuatiliwa chain yote wataondoka wengi na itakuwa ni kashfa kubwa kwakuwa kisu kitagusa mpaka mfupaKumesikika Uyui Tabora watu kutuhumiwa kula kwa urefu wa kamba zao.
Waziri Mkuu kaamuru wakamatwe kisha TAKUKURU wafanye uchunguzi. Hii imekaa je ikizingatiwa hawa ni watuhumiwa tu bado?
Hivi hawa TAKUKURU wenye kusubiria amri kama hizi hata kuna haja gani ya kuwa nao?
"Kwa rushwa ilivyotamalaki, PCCB na wengine wa hivyo wana umuhimu gani kuendelea kuwapo?"
Kauli mbili zinazosigishana. Hiki chama chakavu kiondoke tu
Nakomelea msumariHivi hawa TAKUKURU wenye kusubiria amri kama hizi hata kuna haja gani ya kuwa nao?
Wanasiasa wenye kauli za majukwaani pekee hawatufai.Zile no siasa tu watu wanakamatwa kila leo bila uchunguzi kufanywa wanasota rumande wakati uchunguzi unaendelea usiamini matamko ya wanasiasa hayana mashiko