Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Takataka, yaani unaamini propaganda za kijinga.
 
Nauliza tu maana Bavicha huwa wanajinasibu kama Taasisi ya Vijana inayoongoza Barani Africa na Asia

Wamechukua hatua gani kumtafuta Soka

Yesu alisema " Mchungaji Mwema huwaacha nyikani kondoo Tisini na Kenda na kurudi kumtafuta kondoo Mmoja aliyepotea"

Jumaa Mubarak 😃
 
Nauliza tu maana Bavicha huwa wanajinasibu kama Taasisi ya Vijana inayoongoza Barani Africa na Asia

Wamechukua hatua gani kumtafuta Soka

Yesu alisema " Mchungaji Mwema huwaacha nyikani kondoo Tisini na Kenda na kurudi kumtafuta kondoo Mmoja aliyepotea"

Jumaa Mubarak 😃
Mkuu unataka vijana waweke mbinu zao hapa ili Mafwele awawahi wasimfikie Soka in time?
 
Nauliza tu maana Bavicha huwa wanajinasibu kama Taasisi ya Vijana inayoongoza Barani Africa na Asia

Wamechukua hatua gani kumtafuta Soka

Yesu alisema " Mchungaji Mwema huwaacha nyikani kondoo Tisini na Kenda na kurudi kumtafuta kondoo Mmoja aliyepotea"

Jumaa Mubarak 😃
Tukuulize wewe uliye kwenye kundi la watekaji........watekaji 😀 😀 😀 😀 😀
 
Au mnagonga mbege tu? 😀😀
Usiufurahie sana msiba wa Bavicha sasa hivi hata maccm wanauliwa na kikosi kazi,si unamkumbuka huyu Comrade, ipo siku mwanao au mdogo wako atatekwa na kuuliwa shetani hana rafiki,CCM kimekuwa Chama Cha Mashetani siku hizi
 

Attachments

  • FB_IMG_1724402920398.jpg
    FB_IMG_1724402920398.jpg
    37.7 KB · Views: 5
Usiufurahie sana msiba wa Bavicha sasa hivi hata maccm wanauliwa na kikosi kazi,si unamkumbuka huyu Comrade, ipo siku mwanao au mdogo wako atatekwa na kuuliwa shetani hana rafiki,CCM kimekuwa Chama Cha Mashetani siku hizi
Huyu walimtumia mangi mwenzake kumlisha sumu inasikitisha sana
 
Masauni bado yupo ofisini?
Samia anamuogopa masauni?
Samia anamuogopa IGP.
Hizi kashfa za jeshi la polisi zinampendeza samia?
 
Hawa vijana wanadhani kuwa manaharakati lazima utukane watu na kudharau mamlaka, hawa vijana haya ndio wanayatafuta watiwe ndani ndio wapate trend. Kijana mdogo badala kupiga kazi unataka kujifanya mkombozi watu wanakula maisha.
 
Labda walikuwa wanatembea na wake za watu, jamaa wameamua kulipiza. Vijana wanapenda sana mashangazi

Sasa kama walitekwa, hii story umesimuliwa na nani? Maana walio experience hili jambo hawapo.

Halafu suala la ajenda za nchi, usijiweke mbele, subiri mifumo yenyewe iji-set. Jamii yenyewe huwa inajiivisha, na inakuwa tayari kwa mabadiliko. Ndio maana kwa Tanzania, mnataka watu waandamane, kwanza watu wenyewe wanawashangaa. Mnasema sijui katiba mpya, jamii kwa ujumla haijafikia hatua ya kuihitaji as long as serikali haiiwekei makucha jamii hiyo kwa ujumla wake, ukiacha wake wenye akili zilizopiga shoti kama Mdude Nyagali. Hawa lazima wapate mikwaruzo, kwa kuwa wanatembea kwenye eneo lenye umeme mkubwa.
Huu ndio ukweli mchungu hawataki kuusikia.
 
Siku ya tukio Soka alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha ni Askari akimtaka
Mchezo wa kutumia kampuni za simu kufuatilia watu, whereabouts zao na mazungumzo yao sasa hivi umerudi tena kwa kiwango kikubwa.
 
Ninajali sana. Ndiyo maana nasema kama vijana wanaweza kuepuka "harakati za kushindana na Dola" bora wafanye hivyo.

Nimemfuatilia sana huyu kijana Deusdedith Soka. Amewahi kushikwa na Polisi zaidi ya mara 3. Kila akishikwa ni familia yake ndiyo ina suffer. Lakini wale mashabiki wa harakati wanamuona kama bingwa wao au shujaa.

Mtu kma huyu dogo anajidanganya tu kudhani anaweza kubadili mfumo wa dola. Hata hawa akina Mbowe ambao ni viongozi wa CHADEMA leo hii waliamza taratibu siyo kwa jeuri na kiburi kama cha huyu dogo.
Yeye aniwaiga kina Mbowe wale wanajuwa siasa ya nchi na ile Chadema ni mradi wake wakupigia tu ndani ya nafsi anajuwa fika hawezi kuchukuwa nchi ila anatumika tu kama wengine. shida watu wanawaamini hawa watu.
 
Usalama wa taifa wanafanya wanachotakiwa kufanya, USALAMA WA TAIFA, ukileta chochoko zakutaka kuharibu usalama utashughulikiwa tu.
 
Yeye aniwaiga kina Mbowe wale wanajuwa siasa ya nchi na ile Chadema ni mradi wake wakupigia tu ndani ya nafsi anajuwa fika hawezi kuchukuwa nchi ila anatumika tu kama wengine. shida watu wanawaamini hawa watu.
Mkuu uko DEEP!!
 
Back
Top Bottom