Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yeye aniwaiga kina Mbowe wale wanajuwa siasa ya nchi na ile Chadema ni mradi wake wakupigia tu ndani ya nafsi anajuwa fika hawezi kuchukuwa nchi ila anatumika tu kama wengine. shida watu wanawaamini hawa watu.
"Huu ndio ukweli mchungu hawataki kuusikia" (Heijah )

Vijana wanatumika bila kujijua, ukiwashauri unaonekana ni mtetezi wa CCM Kalamu
 
"Huu ndio ukweli mchungu hawataki kuusikia" (Heijah )

Vijana wanatumika bila kujijua, ukiwashauri unaonekana ni mtetezi wa CCM Kalamu
Mkuu 'Stuxnet' naomba usiniingize kwenye haya makundi yenu, nilisha malizana nayo muda mwingi uliopita.

Kwa mfano, sioni hapa unataka nijadili "ukweli" upi hasa!
Kwamba waTanzania watake wasitake ni halali yao CCM kuwatawala milele?
Mawazo ya namna hii mimi sinayo kabisa.
 
Nimetafakari na kulinganisha uanaharati wa Soka,kijana wa Bavicha Temeke,nikafanya ulinganifu na yaliyompata Steve Beko wa Afrika ya kusini wakati wa kupigania uhuru je vinalingana? au ni uhalifu kama uhalifu mwingine. Tujadili
 
Tanzania ilishajipatia uhuru wake 1961....

Uhuru gani tena mwingine ?!!

Hisia za KIHAINI nini ?!! [emoji44][emoji44]
 
Huu siyo utamaduni mzuri, tujifunze kustaarabika - siasa, dini kwa nn zitujengee ukuta hivyo?
  • Mbn ni kawaida MTU kushindwa!
  • Mbn ni kawaida chama kushindwa!
  • Mbn Mungu katoa njia nyingi za kuishi - kwamba siasa ikigoma utalima, utafanya biashara nk nk

Kutekana na kuuana si utamaduni mzuri
 
Vijana wanatumika vibaya kwa manufaa ya wanasiasa. Eti anaitwa Steve Biko. Na hizo sifa za kipumbavu wanazivaa na kujitosa mazima kwa vitu ambavyo havipo. Deusdedith Soka alitamka kuwa anaipigania nchi yake hivyo ndugu zake wamuache tu. Ni nchi gani Soka anaipigania? Badala ya kuhangaika kupata mkate wake kwa shughuli za uchumi, eti yuko kwenye maandamano, mitandao na maneno mazito ya kukera wanasiasa
 
 
kila Mtu ana haki ya kufanya siasa, siyo kila neno linalotamkwa na wanasiasa watawala linawafurahisha wananchi wote. kutekana ni jambo baya sana
 

"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…