Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Watu wa aina hii hufanya kazi kwa majungu na kusengenyana.
Huwa hawajiamini na mara nyingi hutegemea majungu ili kumjua mtu.
Mara nyingi hata uwezo wao wa kupiga mzigo/ perfomance ni mdogo bali hutegemea majungu ili kusurvavive.
Hupenda sana kuona watu wanafarakana makazini.
Huwa hawajiamini na mara nyingi hutegemea majungu ili kumjua mtu.
Mara nyingi hata uwezo wao wa kupiga mzigo/ perfomance ni mdogo bali hutegemea majungu ili kusurvavive.
Hupenda sana kuona watu wanafarakana makazini.