Watu wasiokunywa pombe na kuchangamana na watu, kwa nini ni wanafiki sana?

Watu wasiokunywa pombe na kuchangamana na watu, kwa nini ni wanafiki sana?

Watu wa aina hii hufanya kazi kwa majungu na kusengenyana.

Huwa hawajiamini na mara nyingi hutegemea majungu ili kumjua mtu.

Mara nyingi hata uwezo wao wa kupiga mzigo/ perfomance ni mdogo bali hutegemea majungu ili kusurvavive.

Hupenda sana kuona watu wanafarakana makazini.
Sasa mtu asiyekunywa pombe na kuchangamana na watu, hayo majungu anapiga na nani ???


Naona umeshagonga Kvant ndio unaanzisha thread.
 
Napinga kwa nguvu zote.Halafu hapo ulipo bila shaka K-Vant imekuhamasisha kuandika haya.
 
Watu wa aina hii hufanya kazi kwa majungu na kusengenyana.

Huwa hawajiamini na mara nyingi hutegemea majungu ili kumjua mtu.

Mara nyingi hata uwezo wao wa kupiga mzigo/ perfomance ni mdogo bali hutegemea majungu ili kusurvavive.

Hupenda sana kuona watu wanafarakana makazini.
Majungu ni tabia ya mtu haihusiani na suala LA kunywa pombe
 
Watu wa aina hii hufanya kazi kwa majungu na kusengenyana.

Huwa hawajiamini na mara nyingi hutegemea majungu ili kumjua mtu.

Mara nyingi hata uwezo wao wa kupiga mzigo/ perfomance ni mdogo bali hutegemea majungu ili kusurvavive.

Hupenda sana kuona watu wanafarakana makazini.
Wanatabia za kike na marafiki zao maofisini ni watoto wa kike
 
Ukiwa na kipato cha uhakika na ni mnywaji kupitiliza, wasiokunywa wanafurahia sana sana.
Ghafla ukiacha kunywa pombe, wanakasirika kwelikweli!
Kila siku maswali hadi wanakera:
"Eti umeacha pombe!? Aaa wapi, sema umepumzika tu, uache pombe wewe!?
Ni kweli umeacha pombe?"
 
Back
Top Bottom