Sasa mtu asiyekunywa pombe na kuchangamana na watu, hayo majungu anapiga na nani ???Watu wa aina hii hufanya kazi kwa majungu na kusengenyana.
Huwa hawajiamini na mara nyingi hutegemea majungu ili kumjua mtu.
Mara nyingi hata uwezo wao wa kupiga mzigo/ perfomance ni mdogo bali hutegemea majungu ili kusurvavive.
Hupenda sana kuona watu wanafarakana makazini.
Majungu ni tabia ya mtu haihusiani na suala LA kunywa pombeWatu wa aina hii hufanya kazi kwa majungu na kusengenyana.
Huwa hawajiamini na mara nyingi hutegemea majungu ili kumjua mtu.
Mara nyingi hata uwezo wao wa kupiga mzigo/ perfomance ni mdogo bali hutegemea majungu ili kusurvavive.
Hupenda sana kuona watu wanafarakana makazini.
Wanatabia za kike na marafiki zao maofisini ni watoto wa kikeWatu wa aina hii hufanya kazi kwa majungu na kusengenyana.
Huwa hawajiamini na mara nyingi hutegemea majungu ili kumjua mtu.
Mara nyingi hata uwezo wao wa kupiga mzigo/ perfomance ni mdogo bali hutegemea majungu ili kusurvavive.
Hupenda sana kuona watu wanafarakana makazini.
AhaaaHahaaaa... vipi..umepigwa jungu maeneo ya Ufipani.?
Ccm ni wanafikiHasahasa akiwa Ni mwana CCM.
Sio kweli na mtoa uzi amejichanganya..sasa mtu kama hachangamani na watu huo umbea ataupata na kuotoa muda gani?Sio kweli.