Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata masikio na kumtelekeza msituni

Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata masikio na kumtelekeza msituni


Hussein Abdala maarufu Mauzinde (30), mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar alitekwa na watu wasiyojulikana, wakamshambulia kwa kumkata masikio yote mawili, wakamfunga bandeji na kisha kumtelekeza msituni

Tukio hilo lilitokea jana Jumapili Juni 2, 2024 usiku eneo la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Daniel Shila amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na ufafanuzi zaidi juu ya suala hilo utatolewa baada ya kujiridhisha zaidi na tukio hilo.

PIA SOMA
- Msanii Baby J na mwenzake Mauzinde watakiwa kukamatwa wakidaiwa kuandaa sherehe iliyokuwa na vitendo vya kuvunja maadili

- Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani
pale serikali inapokuwa sehemu ya bulling ya baadhi y raia wake ndio mambo kama haya utokea..
serikali isake wahalifu hao na iwapeleke mahakamani na kuwafungulia mashtaka hakuna mtu mwenye haki kuzidi mwenzake ujinga ukiendekezwa kwenye jamii una madhara makubwa sana.!
 
Daaa

Hussein Abdala maarufu Mauzinde (30), mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar alitekwa na watu wasiyojulikana, wakamshambulia kwa kumkata masikio yote mawili, wakamfunga bandeji na kisha kumtelekeza msituni

Tukio hilo lilitokea jana Jumapili Juni 2, 2024 usiku eneo la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Daniel Shila amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na ufafanuzi zaidi juu ya suala hilo utatolewa baada ya kujiridhisha zaidi na tukio hilo.

PIA SOMA
- Msanii Baby J na mwenzake Mauzinde watakiwa kukamatwa wakidaiwa kuandaa sherehe iliyokuwa na vitendo vya kuvunja maadili

- Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani
Daah kumbe anakitambi
 
Ilitakiwa wamkate na vikalio vyake anavyo tulingishia kule TikTok
 
pale serikali inapokuwa sehemu ya bulling ya baadhi y raia wake ndio mambo kama haya utokea..
serikali isake wahalifu hao na iwapeleke mahakamani na kuwafungulia mashtaka hakuna mtu mwenye haki kuzidi mwenzake ujinga ukiendekezwa kwenye jamii una madhara makubwa sana.!
Sijajua bado kwanini umeiingiza serikali hapo!

Tafakari vizuri halafu uandike tena labda utaeleweka.
 

Hussein Abdala maarufu Mauzinde (30), mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar alitekwa na watu wasiyojulikana, wakamshambulia kwa kumkata masikio yote mawili, wakamfunga bandeji na kisha kumtelekeza msituni

Tukio hilo lilitokea jana Jumapili Juni 2, 2024 usiku eneo la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Daniel Shila amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na ufafanuzi zaidi juu ya suala hilo utatolewa baada ya kujiridhisha zaidi na tukio hilo.

PIA SOMA
- Msanii Baby J na mwenzake Mauzinde watakiwa kukamatwa wakidaiwa kuandaa sherehe iliyokuwa na vitendo vya kuvunja maadili

- Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani
Atachambaje tena jamani bila masikio kama nyoka?
 
Museveni akisikia atasema Zanzibar sasa mmeanza kuwa na akili.

Pale Namugongo kwenye kumbukizi ya Mashahidi wa Uganda kawapa za uso tena mapunga.
 

Hussein Abdala maarufu Mauzinde (30), mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar alitekwa na watu wasiyojulikana, wakamshambulia kwa kumkata masikio yote mawili, wakamfunga bandeji na kisha kumtelekeza msituni

Tukio hilo lilitokea jana Jumapili Juni 2, 2024 usiku eneo la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Daniel Shila amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na ufafanuzi zaidi juu ya suala hilo utatolewa baada ya kujiridhisha zaidi na tukio hilo.

PIA SOMA
- Msanii Baby J na mwenzake Mauzinde watakiwa kukamatwa wakidaiwa kuandaa sherehe iliyokuwa na vitendo vya kuvunja maadili

- Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani


Wake za watu hao, hakuna ufafanuzi.
 
Najiuliza sipati jibu.
Hivi wateja wa wasenge wa kulipwa ni Nani?
Je nukweli wasenge niwatamu kuliko wanawake?
Au watu wanawatumia kwa maelekezo ya waganga?
 
Back
Top Bottom