Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata masikio na kumtelekeza msituni

Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata masikio na kumtelekeza msituni

Na nyinyi wagalatia mkamkamate huyu wa kwenu mumpige mtungo na kufyekelea mbali

1717852441124.jpeg
 
Kuna mambo yanafurahisha sana, na bado anajigamba hawezi acha tabia yake...


Cc: Mahondaw
 
Ngoja niendelee kumset cocastic huko PM. Naye nitamkata masikio muda si mrefu awe kama nyoka. Ukisikia kuna mtu kakamatwa kwa kumkata mtu masikio yote mawili mjue kabisa ni mimi Mzalendo wa Kitanzania na aliyeng'olewa masikio mjue kabisa huyo ni cocastic
 
Ngoja niendelee kumset cocastic huko PM. Naye nitamkata masikio muda si mrefu awe kama nyoka. Ukisikia kuna mtu kakamatwa kwa kumkata mtu masikio yote mawili mjue kabisa ni mimi Mzalendo wa Kitanzania na aliyeng'olewa masikio mjue kabisa huyo ni cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amka wewee!! Utajikojoleaaa bureee!!
Kumeshakucha sahiviii!! Lol
 

Hussein Abdala maarufu Mauzinde (30), mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar alitekwa na watu wasiyojulikana, wakamshambulia kwa kumkata masikio yote mawili, wakamfunga bandeji na kisha kumtelekeza msituni

Tukio hilo lilitokea jana Jumapili Juni 2, 2024 usiku eneo la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Daniel Shila amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na ufafanuzi zaidi juu ya suala hilo utatolewa baada ya kujiridhisha zaidi na tukio hilo.

PIA SOMA
- Msanii Baby J na mwenzake Mauzinde watakiwa kukamatwa wakidaiwa kuandaa sherehe iliyokuwa na vitendo vya kuvunja maadili

- Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani

- Nani kamfadhili Mauzinde kwenda Canada?
Atafutwe Burhani mwenyekiti uvccm kagera atujibu hili
 
Back
Top Bottom