kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #121
Amechoooka huyu mjomba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amechoooka huyu mjomba!
Ndiyo maana tuliamua kuwatoa mkuku kwenye mkutano wetuHahahahaaa,TBC waliweka Camera kihuni ili kuwaonesha watu kuwa mkutano haukuwa na watu[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwani mwenzetu umekuja na huyo lissu unaishi ubelgiji nawe pia?!
Huamini macho yako,Zoom uone bango nyuma ya wageni ndio utajua ni ya lini!Ya kuomba wadhamini hii toa ya jana
lisu na chadema nilikua nawakubali sana bt nilikuja kuwadharau kwenye sakata la madini ambapo daily walikua wanalipigia kelele, serikali ilipolikabili badala yakuiunga mkono kama walivokua wanalisemea mwanzo wakahamia upande wa pili nakuwatetea wazungu, hapa ndo nilipata picha ya upinzani tulio nao.Umemaliza!
Nimesha zoom!Huamini macho yako,Zoom uone bango nyuma ya wageni ndio utajua ni ya lini!
Mlicho kiweza kuwafanyia watanzania kwa kipindi choote cha 60 yrs ni kuwatia umasikini na ujinga tuKwani mwenzetu umekuja na huyo lissu unaishi ubelgiji nawe pia?!
Hahahahahaa,naona unajitekenya na kucheka mwenyewe!Hiyo picha ilipigwa asubuhi wakati watu ndio wanaanza kukusanyika!Picha ziko kibao wakati Lissu akihutubia,unajifanya kichaa!