Uchaguzi 2020 Watu wastaarabu walifuata sera

Uchaguzi 2020 Watu wastaarabu walifuata sera

Ziangalie vizuri utupe mrejesho ndio maana ilani haikusomwa!View attachment 1551526View attachment 1551527
Hapo ni dodoma leo hii 29.08.2020 asubuhi msululu wa malori yanashusha wana ccm kutoka mashambani, maana wakaazi wa mijini wamesusa kwenda kwenye mikutano ya ccm.
FB_IMG_1598679759844.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguvu ya wanachadema iko nyuma ya keyboards, zamani ilikua kura hawapigi ila mikutanoni wanaenda... sasaivi hata mikutanoni hawaendi
Sijui wanamtegea nani awajengee chama😁😁😁

YOU JUDGED IT CORRECT BROTHER, MIRIJA YAO YA KUTAKATISHA FEDHA KWA KISINGIZIO CHA UFADHLI, IMEPUNGUZWA, INGAWA BADO. SASA WATATOA FEDHA ZISIZOKUWA NA JASHO KUWADANGANYIA VIJANA WA KUJAZA WATU KWENYE KAMPENI? WANACHI SASA HAWADANGANYIKI. NA HATADANGANYIKA TENA.
WAMEENDA KODI TV STATION, WALIPOAMBIWA, MKITAKA TUENDE MTUHAKIKISHIE KQMA HAMTATUKANA, WAKAOSHINDWANA NA VYYOMBO VYOTE HATA REDIO HAWAKUPATA, NANI AFUNGIWE CHOMBO CHAKE KWA FESHA ZA SIKU MOJA? TBC WALIFANYA UUNGWANA, LKN NAO WAKAWATOA KWA KUWAPA DK. 15.
 
Back
Top Bottom