Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hapo ni dodoma leo hii 29.08.2020 asubuhi msululu wa malori yanashusha wana ccm kutoka mashambani, maana wakaazi wa mijini wamesusa kwenda kwenye mikutano ya ccm.Ziangalie vizuri utupe mrejesho ndio maana ilani haikusomwa!View attachment 1551526View attachment 1551527
Sent using Jamii Forums mobile app