Uchaguzi 2020 Watu wastaarabu walifuata sera

Umemaliza!
lisu na chadema nilikua nawakubali sana bt nilikuja kuwadharau kwenye sakata la madini ambapo daily walikua wanalipigia kelele, serikali ilipolikabili badala yakuiunga mkono kama walivokua wanalisemea mwanzo wakahamia upande wa pili nakuwatetea wazungu, hapa ndo nilipata picha ya upinzani tulio nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…