Watu wawili wauawa kwa kuchinjwa kisa wivu wa mapenzi

Bora umekaa pembeni, kuna watu ni vichaa!
 
Mapenzi![emoji3064][emoji1544] ona sasa wamegawana majengo ya serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi![emoji3064][emoji1544] ona sasa wamegawana majengo ya serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
Maafa kwenye mapenzi mara nyingi huletwa na hasira kali ambazo hazikawii kuisha na kufuatiwa na majuto makuu. Mtu anaweza kuumiza au kuumizwa akigombea demu wa kawaida kabisa wakati angeweza kupata mwingine mkali zaidi kama angedharau..
 
shida mikoani mademu wazuri wachache kutokana namaisha duni hadi waje dar ndio wananawiri

serikali iboreshe maisha yavijijini mademu wale na kuvaa vizuri Ili vijana kumi wasigombanie demu mmoja.

au la nichagueni Mimi niwe raisi nitawafanyia yote hayo hakutakuwa na ugomvi
 
Kwa hiyo ukiwasiliana na Mpenzi wako baadae akaja kufia kwa mchepuko wake ambaya wala huna habari naye tayari unawekwa ndani.

Si kuna ile unachati naye huku anaelekea kwa mchepuko kupigwa kambumbu......itokee afie huko sasa ndip utamjua Kamanda wa Mkoa ni nani😆😆
 
Huu ni ukweli mkubwa sana. Ndio maana wanawake wa Dar karibu wote ni wazuri.

Sababu ya mazingira masafi, lotion, kuoga kwa wingi na mapocho pocho ya kula
 
'akiwasiliana na watu ambao walikuwa wapenzi wake'!? Huyu alikuwa sex machine.
 
Hayo ndio matokeo ya kukimbilia na kuendekeza mapenzi. Maana kizazi cha sasa asilimia kubwa wanaendwkeza mapenzi zaidi kuliko kitu kingine mwishowe ni kifo.
 
Hayo ndio matokeo ya kukimbilia na kuendekeza mapenzi. Maana kizazi cha sasa asilimia kubwa wanaendwkeza mapenzi zaidi kuliko kitu kingine mwishowe ni kifo.
Ni kutokana na kile wanachokiona na kukisikia kwenye jamii.

Na hasa hada kupitia bogo fleva na bongo movie.
 
Wivu wa mapenzi mda mwingine ni kuupa kiki tuu, sio kila kifo kinachohusisha jinsia mbili tofauti ni mapenzi.

Japo hii ya wivu wa mapenzi itabeba wengi sana, Unachati zako na danga huko, wamekurupushana kwa mambo mengine, kala kisu, Wanakuunganisha...
Unachati na Demu umemtaja taja jamaa yake kwenye msg, Kesho jamaa kala chuma mtaani, Namba utaisoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…