Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Vyeti fake.......🤣🤣🤣🤣🤣Magufuli alikuwa na Roho mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyeti fake.......🤣🤣🤣🤣🤣Magufuli alikuwa na Roho mbaya.
Tuangalie mambo kwa mapana na marefu zaidi.Ingekuwa hivyo Mandela angekuwa bado anaishi mpaka leo
Nii kuropoka tu wala sio kutaka kuushika utawala ili ufanye watakavyo. Ulevi wa madaraka ni tatizo linawasumbua.Kila nikitafakari kauli ya "watu wazuri hawafi haraka" inanichanganya maana ninaiona kama blackmail kwa utawala
hakuna kingine cha kuwaza na kufanya ila kuhangaika na kauli ya mtu ilhali mmeshaambiwa ni kuteleza kwa ulimi? Huko siko kumwombea msamaha mzee wa watu? kwenu hakuna wazee? wakiteleza kidogo na kujirudi mara moja unaendelea kumshikia tu bango? Nia yenu ni tofauti ila hamtafanikiwa nyie nyauKila nikitafakari kauli ya "watu wazuri hawafi haraka" inanichanganya maana ninaiona kama blackmail kwa utawala
kinyesi cha kwako anakuwa nacho nani? Mapuuzi kweli. Ukisemwa upuuzi alioufanya Mungu wenu ambaye amekufa mnatokwa mapovu. Washenz na ndiyo ameshakufa hawezi rudi baki na kinyesi chako na weweBaki na Kinyesi chako.
Basi sawakinyesi cha kwako anakuwa nacho nani? Mapuuzi kweli. Ukisemwa upuuzi alioufanya Mungu wenu ambaye amekufa mnatokwa mapovu. Washenz na ndiyo ameshakufa hawezi rudi baki na kinyesi chako na wewe
Hata mimi inanichanganya balaa.Kila nikitafakari kauli ya "watu wazuri hawafi haraka" inanichanganya maana ninaiona kama blackmail kwa utawala