Watu wazuri hawafi: Mzee Makamba hajaonekana kwenye msiba wa Mzee Membe

Watu wazuri hawafi: Mzee Makamba hajaonekana kwenye msiba wa Mzee Membe

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Huu uzi hauhusiani na uzi wowote, ni kama ule wa watu wazuri hawafi.

Amakweli nimeamini mzee Makamba alimaanisha alichokisema maana hajaenda msibani, wala hajatoa salamu za rambirambi, nimeangaza angaza sijafanikiwa kumwona mwanawe msibani.

Hongera mzee wangu kwa kusimamia kauli yako.
 
Nyinyi vijana wadogo mnapata wapi ujasiri wa kumsema mkurungwa.
416351085_b2f9159d44.jpg
 
Back
Top Bottom