Watu wazuri hawafi: Mzee Makamba hajaonekana kwenye msiba wa Mzee Membe

Watu wazuri hawafi: Mzee Makamba hajaonekana kwenye msiba wa Mzee Membe

Huu uzi hauhusiani na uzi wowote, ni kama ule wa watu wazuri hawafi.

Amakweli nimeamini mzee Makamba alimaanisha alichokisema maana hajaenda msibani, wala hajatoa salamu za rambirambi, nimeangaza angaza sijafanikiwa kumwona mwanawe msibani.

Hongera mzee wangu kwa kusimamia kauli yako.
Anaumwa
 
Huu uzi hauhusiani na uzi wowote, ni kama ule wa watu wazuri hawafi.

Amakweli nimeamini mzee Makamba alimaanisha alichokisema maana hajaenda msibani, wala hajatoa salamu za rambirambi, nimeangaza angaza sijafanikiwa kumwona mwanawe msibani.

Hongera mzee wangu kwa kusimamia kauli yako.
Nmejikuta nacheka tu😅😅,kumbe mzee anasamia Theory yake bila kuyumbishwa "watu wazuri hawafi" ukifa wew mbaya
 
Back
Top Bottom