Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 398
- 706
Hauna kazi kwa sababu hauna taarifa za kuwepo kwa nafasi za kazi .Kupata taarifa njoo kwenye group la watsapp la ajira. Tunapost ajira mpya kila siku.nicheki inbox niku add kwenye group.Ukijifanya mbishi shauri yako utaendelea kukaa bila kazi wakati kila siku nafasi za kazi zinatangazwa na ma kampuni kila kona ya nchi.
Kuwa na connection na watu sahihi upate kazi.
Ntakujua vipi mkuu??Njia rahisi ni kuweka link ya group hapa ili kulinda privacy. Obviously nikikutumia namba yangu utanijua wakati hapa JF tunatumia pseudo names.
Nimesema wapi kwamba nia yangu ni kusaidia watu??๐๐๐Weka link ,watu waniunge Inbox Kuna nn kama nia yako ni kusaidia watu
Nimesema wapi kwamba nia yangu ni kusaidia watu??๐๐๐
Mnapenda vtu vya bure na vyepesi ndio maana hamfanikiwi.
Sijawa mkali nimeweka na link, ila watanzania mtambue kuwa hamna vya bure, yani mi nifanye kazi ya kukutafutia matangazo ya kazi wewe uombe upate kaziMbona umekuwa mkali Sasa
Watu kazi wanazo
Unajua maana ya wizi???Shida yako uibie jobless hizo buku buku zao
Tanzania tupo milioni 60Hauna kazi kwa sababu hauna taarifa za kuwepo kwa nafasi za kazi .Kupata taarifa njoo kwenye group la watsapp la ajira. Tunapost ajira mpya kila siku.nicheki inbox niku add kwenye group.Ukijifanya mbishi shauri yako utaendelea kukaa bila kazi wakati kila siku nafasi za kazi zinatangazwa na ma kampuni kila kona ya nchi.
Kuwa na connection na watu sahihi upate kazi.
TayariWeka link ,watu waniunge Inbox Kuna nn kama nia yako ni kusaidia watu
Kwa hiyo na wewe umeamua kuwakamua wenye uhitaji..Sijawa mkali nimeweka na link, ila watanzania mtambue kuwa hamna vya bure, yani mi nifanye kazi ya kukutafutia matangazo ya kazi wewe uombe upate kazi
Buree tu??? Inakuingia akilini ??
We mwenzetu umefanikiwa???Nimesema wapi kwamba nia yangu ni kusaidia watu??๐๐๐
Mnapenda vtu vya bure na vyepesi ndio maana hamfanikiwi.
Wizi ndo huo unaofanyaUnajua maana ya wizi???
Ntakujua vipi mkuu??
Hizi ni dalili za utapeli ukiona mtu anakutishia changamoto yako ujie hapo kuna kitu haiko sawaMbona umekuwa mkali Sasa
Watu kazi wanazo
Ila kwa hii nchi ilivyo na wajinga wengi, mihata sishangaiWizi ndo huo unaofanya
Uunde group usambaze link uokote pesa za jobless
Tumbafu