Watu wengi hawana kazi kwa sababu hawana taarifa za uwepo wa nafasi hizo

Watu wengi hawana kazi kwa sababu hawana taarifa za uwepo wa nafasi hizo

Nimesema wapi kwamba nia yangu ni kusaidia watu??😂😂😂
Mnapenda vtu vya bure na vyepesi ndio maana hamfanikiwi.
Wewe umefanikiwa? au ndio unategemea hizo 5k za kujiunga na group lako uchwara ili ufanikiwe. Acha uzwazwa wewe, kama huwezi kuweka hiyo link hapa pita hivi
 
JF Kama JF mtoa mada weka link Kama ambavyo umepewa ushauri na wadau hapa
 
Sijawa mkali nimeweka na link, ila watanzania mtambue kuwa hamna vya bure, yani mi nifanye kazi ya kukutafutia matangazo ya kazi wewe uombe upate kazi
Buree tu??? Inakuingia akilini ??
Hauna kazi za kufanya 😄
 
Back
Top Bottom