Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kwa mambo mnayoyafanya ninyi mtasababisha nifufue uzi wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umefanikiwa? au ndio unategemea hizo 5k za kujiunga na group lako uchwara ili ufanikiwe. Acha uzwazwa wewe, kama huwezi kuweka hiyo link hapa pita hiviNimesema wapi kwamba nia yangu ni kusaidia watu??😂😂😂
Mnapenda vtu vya bure na vyepesi ndio maana hamfanikiwi.
Natamani uniajiri kwenye KAMPUNI YAKO.Nimesema wapi kwamba nia yangu ni kusaidia watu??😂😂😂
Mnapenda vtu vya bure na vyepesi ndio maana hamfanikiwi.
Uvunaji na usindikaji...yani hapo una two in waniNatamani uniajiri kwenye KAMPUNI YAKO.
Nina DIPLOMA YA KUVUNA ASALI.
Cc: FaizaFoxy Kapeace Kalpana Bantu Lady binti kiziwi Poor Brain Mbaga Jr Extrovert
Nakumbuka THE BOLD alinipiga sana BUKU TANO ZANGU za kujiunga kwenye magrupu yake ya UJASUSI UCHWARA.Wewe umefanikiwa? au ndio unategemea hizo 5k za kujiunga na group lako uchwara ili ufanikiwe. Acha uzwazwa wewe, kama huwezi kuweka hiyo link hapa pita hivi
Asali kama asali. Ila BICHWA KOMWE - kila sekta upo 🤣🤣🤣🤣🤣Natamani uniajiri kwenye KAMPUNI YAKO.
Nina DIPLOMA YA KUVUNA ASALI.
Cc: FaizaFoxy Kapeace Kalpana Bantu Lady binti kiziwi Poor Brain Mbaga Jr Extrovert
😂😂😂😂 enheeee... diploma inayokidhi sokoUvunaji na usindikaji...yani hapo una two in wani
Sio shida zangu 😂😂😂😂 nipo kama maji... usiponioga utaninywaAsali kama asali. Ila BICHWA KOMWE - kila sekta upo 🤣🤣🤣🤣🤣
Kuvuna asali ndo kufanyaje 😂😂🙌Natamani uniajiri kwenye KAMPUNI YAKO.
Nina DIPLOMA YA KUVUNA ASALI.
Cc: FaizaFoxy Kapeace Kalpana Bantu Lady binti kiziwi Poor Brain Mbaga Jr Extrovert
Na wewe...Nakumbuka THE BOLD alinipiga sana BUKU TANO ZANGU za kujiunga kwenye magrupu yake ya UJASUSI UCHWARA.
Cc: Nifah Poor Brain Mbaga Jr Mpaji Mungu adriz Maghayo mshamba_hachekwi Kapeace Nyani Ngabu
Hauna kazi za kufanya 😄Sijawa mkali nimeweka na link, ila watanzania mtambue kuwa hamna vya bure, yani mi nifanye kazi ya kukutafutia matangazo ya kazi wewe uombe upate kazi
Buree tu??? Inakuingia akilini ??