Watu wengi hawana uelewa kuhusu UKIMWI

Nop ,maambukizi ya ukimwi hayategemei Mchubuko kama key factor Shida ni kugusa fluids
sijajua elimu yako imekusaidia nini! wewe ukipewa uraisi unaweza uwa watu kwa vitu vya kusadikika visivyo na studies! Ingekua hivo watanzania 70% tungekua tumeumia! Ni msomi usiye elewa mambo
 
Kwa kuanzia tunaomba utuonyeshe picha ya huyo kirusi anayekaa kwenye Ute ute
 
Ndo maana tukasema Kuna case chache mtu anaweza akashindwa kupata Ukimwi kulingana na mabadiliko ya vipokezi Vyake vya ukimwi kubadilika
TENA huo mfano wa Kwanza wa pili nina Rafiki yangu Dokta wa wanyama sijui ndo mnaita mifugo anaishi Airport Hapo alipata mrembo kwenye shughuli zake za udaktari siunajua wanawake wanapenda kufugwa vile vijibwa km midoli vile vya urembo wanaitaga mbwa wala uchi[emoji1787][emoji24].

Dokta akampata huyo mrembo siunajua wanachomwa sindano wale mbwa special care Sjui ndo kila mwezi akapata huyo demu Kwa njia hiyo kumbe demu kaungua akienda kumpa huduma mbwa nayy anapewa huduma ya papuchi namwenye mbwa mwenyewe anasema wateja wengine wazuri aisee unatoa huduma unalipwa than unapewa na shukran ya papuchi [emoji3][emoji2]

Kuna siku wakati anatoka kwake akasikia story za huyo mrembo yakwamba kaungua kitaa. Jamaa alichanganyikiwa Maana anamke nawatoto Ila nilimtuliza sana nikamwambia unaanzaje kufikiria mabaya kwamkeo na watoto wako mchukue mkapime usikute watu wanaongea uongo tu wanamzushia.

Alimchukua kwanjia ya siasa mpaka kufika hospital kwenda kupima huyo demu analia anajua kishawaka matokeo kutoka Jamaa Hana kitu Ila demu muathirika kweli na ashamnyandua miezi sita akienda kutibu mbwa anapewa na mbususu. Alitaka kumshtaki nikamzuia nikamwambia ww ndo ushtakiwe maana ulikuwa unalipwa ujira mara 2 malipo ya huduma ya mbwa na huduma ya mbususu ukajiona unapendwa mwenyewe.
 
Hahaha nimeipenda ya yeye ndio ashtakiwe kwa kuchukua mishahara 2. Lkn inauma sana watu kutokujali kuwaaambukiza wengine.
 
Vipi Kuna mahusiano gani Kati ya mkanda wa jeshi na ukimwi?

Mtu aliyeunvus mkanda wa jeshi Kuna possiblity ya kuwa na ukimwi pia?

Kuna binti nilimgonga haikupita wiki akaungua huo mkanda raia wakazusha anao nilitetemeka Kama panya aliyeenda kwenye wavu mdogo hata kupima dijapima mpaka Leo mwaka ushakatika na dalili za kuungua Hilo gonjwa Sina ila sijiamini amini.
 
Kapime mkuu unahofu Yann sasa mkanda wa jeshi ni dalili moja wapo mkuu yakuwa huenda ameungua.
 
Njia za kwenda kwa mungu ni nyingi sana.
sio ukimwi tu
Acha Nile raha
Basi tafuta mmoja mpime akikisha ni mzma Uishi Nae ,unaweza sema hvyo Halafu ukaupata ukimwi na Usife Mapema ,then Kuja kutafuta mwanamke kama ni mwanaume ambaye atakubali kuishi na ww na una ukimwi Sahau Au utapata kwa tabu sana
 
Nauliza wakuu ? Hivi ni kweli kuna dawa ya ukimwi ambayo ina 99.9% ya uponyaji/ kumpa mgonjwa nafuu huko... nchi za mbele, nchi za ulaya..
 
Kwaio na sisi wapiga deki tupo kwenye hatari,manake kuna muda tunameza kilakitu yani!
Kufa kupo mzeya sasa uamuzi ni wako ufe huku umekula asali orijino au ufe huku umekula pipi na makaratasi
 
Warning...
 
Victims wa HIV wapo hadi ulaya ndugu soma statistics za CDC na WHO
 
Hivi kumbe huwa zipo wodi za wagonjwa wa ukimwi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…