Watu wengi hawana uelewa kuhusu UKIMWI

Watu wengi hawana uelewa kuhusu UKIMWI

Habari za usiku wanajamii Forums!

Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.

Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI

Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.

Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.

Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.

KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS

Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
Hivi kumbe huwa zipo wodi za wagonjwa wa ukimwi?
 
Kwamba Kinga ya mwili inazuia ukimwi? Unaongea kwa experience !!ukimwi maana yake ni Upungufu wa kinga Mwilini halafu Kinga Izuie?acha kujibu maswal kwa mazoea Mzee ,Your totally Wrong
Unaelewa nini kuhusu immunity na bllod group?
Hii Ni article moja Sawa na ndio kitu nlikuwa nasema kwamba wengi hawajui Wacha nicopy Then Usome

Only certain body fluids from a person who has HIV can transmit HIV. These fluids include

blood,semen (cum),pre-seminal fluid (pre-cum),rectal fluids,vaginal fluids, and breast milk.

From Vaginal Sex?

Yes, and either partner can get it!

Women can get HIV through the tissue that lines their vagina and cervix. The virus can get into men through the opening of their penis or through a small cut or sore on it. Women are at higher risk if they are the one being penetrated.

Tafsiri !!hope tutakuwa tumeelewana ?anakwambia Through The opening Of their Penis ,Kwa hyo kama mwanamke anayokwenye vaginal fluids Maana yake zinapita kwenye penis mkuu.
Muulize lecture wako au Profesa wako Delta 24 ni nini? Akishakwambia maana yake rudi hapa.

Ila kama wewe ni daktari mtalajiwa basi umuhimu wa kuwa na pesa za kutibiwa India au ulaya bado uko palepale, mnakata watu miguu hovyo kwa kesi za kumponyesha mtu kwa vidonge tu.
 
Habari za usiku wanajamii Forums!

Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.

Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI

Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.

Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.

Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.

KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS

Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
Hivi kumbe huwa zipo wodi za wagonjwa wa ukimwi?
 
Msuguano wa nyama kwa nyama una Raha yake Jamani[emoji39]
Na ndicho kinachotuponza hicho unakutana na demu anakuangalia tu na kondomu zako mkizoena kondomu zinasahaulika mnahamia kwenye vidonge p2 mwagia ndani kabisa baby. Shetan alaaniwe kwakweli
 
Duh!! Mbona nyinyi wataalamu mnatuchanganya Sasa..... wengine wanatuambia tupige foreplay ili kuleta maji maji ukeni kwa ajili penzi salama..... wengine mnatuambia kuwa vinapita kwa njia ya mkojo mbona mnatuchanganya Sasa.......yaani kila mtaalamu anakuja na yake....
Mi navyojua virusi vya ukimwi vinakaa kwenye majimaji ya ukeni ikiwa huyo mwanamke atachubuka sehemu za Siri akiwa anafanya mapenzi na mwanaume kupelekea na huyo mwanaume kupata hivyo virusi ikiwa na yeye atapata michubuko sehemu zake za Siri over ila kwenye mrija wa mkojo mfano vikipita Sasa vinaenda wapi kwenye kibofu au .????

Kama ni kwenye majimaji ya ukeni kwann Sasa huwa wanapima damu na sio hayo majimaji ya ukeni.....????
 
Mi navyojua virusi vya ukimwi vinakaa kwenye majimaji ya ukeni ikiwa huyo mwanamke atachubuka sehemu za Siri akiwa anafanya mapenzi na mwanaume kupelekea na huyo mwanaume kupata hivyo virusi ikiwa na yeye atapata michubuko sehemu zake za Siri over ila kwenye mrija wa mkojo mfano vikipita Sasa vinaenda wapi kwenye kibofu au .????

Kama ni kwenye majimaji ya ukeni kwann Sasa huwa wanapima damu na sio hayo majimaji ya ukeni.....????
Inawezekana vinapatikana kwa wingi kwenye damu na uchache kwenye hayo maji maji ya ukeni.......ngoja tuzidi kupata michango ya wataalamu
 
Hana utaalam wowote kanjanja tu huyo, kimsingi huu ugonjwa wanaume ndio wenye nafasi kubwa ya kupunguza maambukizi.

Iko hivi, mwanaume mwenye virusi vya ukimwi akitembea kavukavu na mwanamke mzima ambaye hajaathirika akimkojolea hiyo ujuwe imoo lazima mwanamke apate maambukizi, sperm za mwanaume zinaambukiza ngoma wala hakuhitajiki mchubuko.

Lakini mwanaume mzima akitembea na mwanamke muathirika kavukavu na akamkojolea na bado anaweza kutoka salama, kwahiyo utaona hapo issue ya mchubuko inamuhusu mwanaume tu na siyo mwanamke.

Kama kuna kiumbe anatakiwa kujilinda zaidi na kushika bango la condom basi ni mwanamke ndio mwenye risk zaidi ya kuambukizwa na mwanaume.

Mwisho ifahamike si kila binadamu anaweza kuambukizwa ukimwi, inategemea na damu ya mtu na immunity zake, watu hao wanapatikana kwa wingi nchini Gambia.

Nadhani mfano umeuona hata kwenye corona ni virus pia, watu weupe virus zinawasumbuwa sana watu weusi wengi wao wanadunda tu.

Wengi tumeuguwa Corona zaidi ya mara moja na tumepona bila hata kujuwa kama ni corona, hapo issue ni immunity zetu kwa virus wa corona hawana madhara makubwa kwetu na huo ndio ukweli.
Hakika.
 
Hii nchi ina mambo mengi sana, kama mtu anandanganya mwenzake kuwa akimaliza kufanya mapenzi anywe maji mengi ili asipate mimba kweli? Hata unywe ndoo kumi, mimba ikiingia imeingia.

Vaeni condom ni safe sana
Labda wanaamini mimba ina share utumbo mmoja na chakula.
 
Mtoa mada kama ulivyokiri kuwa bado ni mwanafunzi na kweli hujajua hasa ukimwi ni nini, UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini sasa mtu anawezaje kumuambukiza mwenzie huo upungufu?

Pia kuhusu michubuko haupo sahihi, mimi natomba bila kukamia mechi mwaka wa 30 huu bila condom wala nini na sipati huo ugonjwa.
 
Duh!! Mbona nyinyi wataalamu mnatuchanganya Sasa..... wengine wanatuambia tupige foreplay ili kuleta maji maji ukeni kwa ajili penzi salama..... wengine mnatuambia kuwa vinapita kwa njia ya mkojo mbona mnatuchanganya Sasa.......yaani kila mtaalamu anakuja na yake....
Wao wenyewe wanachanganywa huko vyuoni wanaposoma, kiasi kwamba wanakuja kutuelezea au kutufafanulia jambo ambalo hata kwao halipo clear.

Binafsi nitaendelea kumuamini Deception maana madokta wote walipoteana, na hakuna aliyeweza kutoa hoja za kueleweka mbele yake.
 
Mkuu mimi nakushauri ukazane na shule ya Afya kama ulivyosema ni mwanafunzi bado

Hayo maji maji ungetuambia chance yake ya kubeba virus ni asilimia ngapi hapo ungeeleweka

Lakini ulichoandika ni speculations zako tu na hisia, ila ukweli ni kuwa maji maji hayabebi virusi wa HIV, kama ingekua hivo basi dunia nzima tungekua ni waathirika

Pia lingine kama maji maji ama UTE UTE kama ulivyoita wewe unabeba virusi, basi hata mate nayo yanabeba virusi, kitu ambacho sio sahihi
Hajaelewa alichoelezwa darasani. Alaf anakuja kutumwagia sisi matango pori
 
Vaginal fluid and blood can carry HIV, which can pass through the opening at the tip of the penis (urethra) .Anayebisha? Hyo nmewasaidia na kugoogle
 
Habari za usiku wanajamii Forums!

Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.

Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI

Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.

Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.

Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.

KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS

Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
Sasa ikiwa virus wanapatikana kwenye vaginal fluid kwanini vipimo vihusishe damu?
Nijuavyo mimi, mtu mwenye Aids tayari huyu hata mate yake yanakuwa na vimelea vya ukimwi lkn si mwenye HIV.
 
Vipi Kuna mahusiano gani Kati ya mkanda wa jeshi na ukimwi?

Mtu aliyeunvus mkanda wa jeshi Kuna possiblity ya kuwa na ukimwi pia?

Kuna binti nilimgonga haikupita wiki akaungua huo mkanda raia wakazusha anao nilitetemeka Kama panya aliyeenda kwenye wavu mdogo hata kupima dijapima mpaka Leo mwaka ushakatika na dalili za kuungua Hilo gonjwa Sina ila sijiamini amini.
Hayo ni maneno mkuu Japo Mkanda wa jeshi -Shingles ambapo inatokana na Reactivation(kurudi mara ya pili) kwa Chickenpox sasa Tiba yake ni Antiviral drugs Kama Acyclovir ,sasa dawa hizohzo Zinatumika na wagonjwa wa ukimwi kwenye some cases ,hila haimaanishi Ukiwa na Shingles Ni lazima unaukimwi
 
Habari za usiku wanajamii Forums!

Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.

Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI

Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.

Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.

Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.

KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS

Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
Mnatuchanganya sana na hizi elimu zenu.
 
Vaginal fluid and blood can carry HIV, which can pass through the opening at the tip of the penis (urethra) .Anayebisha? Hyo nmewasaidia na kugoogle
Sema ni asilimia ngapi probability ya Vaginal fouids ad semen inayoweza kubeba virus

Yaani katika watu 10, ni wangapi wanaweza kuambukizwa kupitia only fluids i.e SEMEN and VAGINAL FLUID

sio unaleta maelezo tu
 
Back
Top Bottom