Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,056
Ndio Mimi nakula sana kwenye haya mabanda umiza yani sio kwamba napenda sema Nina sababu zangu binafsi.Sasa kama wewe ulikuwa kama Mimi ebu tupe sababu zilizokufanya uache kabisa yaan usitamani hata na kama unakula basi kuna dharura.
So hapa teremka na fact sio Maelezo ya darasani sijui kipindupindu hilo liko wazi sanaaa na sidhan kama inaweza kuwa main reason.
So hapa teremka na fact sio Maelezo ya darasani sijui kipindupindu hilo liko wazi sanaaa na sidhan kama inaweza kuwa main reason.
