Watu wengi wamehitimisha kwamba MC Joel alijirusha, wanasahau kuhoji kwamba kuna kurushwa kwa nguvu na kutishiwa ujirushe

Watu wengi wamehitimisha kwamba MC Joel alijirusha, wanasahau kuhoji kwamba kuna kurushwa kwa nguvu na kutishiwa ujirushe

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ndio kawaida ya watu wengi kufikia conclusion wakiona mtu karuka ghorofani basi kajirusha,

Tukumbuke pia kuna kuruka kwa mazingira haya.

A. Kurushwa na mtu au watu wengine kwa nguvu, hapa inaweza kuwa mtu anasukumwa kwa nguvu ili adondoke, kuna watu wana nguvu hana haja kukusukuma anakurusha kama mpira,

B . Kutishiwa - Hapa inawezekana kuna mshambuliaji ana bunduki, panga, n.k. muhanga anaona bora ajirushe tu maana hata kama hao watu hawana nia ya kumrusha wanaweza kumteka na kumpeleka kwenye mateso ya kuliwa na siafu mpaka kifo ama kurekodiwa video ya kumuondoa utu,
 
Duuh rafiki ake kapotea tenaa?? Basi kuna suala zito sanaa juu ya hili sakataa.
 
Mkuu,
sisi wabongo wengi ni expert wa kufunga mijadala/habari. Sio expert wa kudadisi mijadala au habari.
 
Siku zote kosa ni la marehemu
Mind ur Business
 
Ndio kawaida ya watu wengi kufikia conclusion wakiona mtu karuka ghorofani basi kajirusha,

Tukumbuke pia kuna kuruka kwa mazingira haya..

b. Kurushwa na mtu au watu wengine kwa nguvu, hapa inaweza kuwa mtu anasukumwa kwa nguvu ili adondoke, kuna watu wana nguvu hana haja kukusukuma anakurusha kama mpira,

c . Kutishiwa - Hapa inawezekana kuna mshambuliaji ana bunduki, panga, n.k. muhanga anaona bora ajirushe tu maana hata kama hao watu hawana nia ya kumrusha wanaweza kumteka na kumpeleka kwenye mateso ya kuliwa na siafu mpaka kifo ama kurekodiwa video ya kumuondoa utu,
eti tuita nchi ya amani
amani ipi sasa
 
Ndio kawaida ya watu wengi kufikia conclusion wakiona mtu karuka ghorofani basi kajirusha,

Tukumbuke pia kuna kuruka kwa mazingira haya.

A. Kurushwa na mtu au watu wengine kwa nguvu, hapa inaweza kuwa mtu anasukumwa kwa nguvu ili adondoke, kuna watu wana nguvu hana haja kukusukuma anakurusha kama mpira,

B . Kutishiwa - Hapa inawezekana kuna mshambuliaji ana bunduki, panga, n.k. muhanga anaona bora ajirushe tu maana hata kama hao watu hawana nia ya kumrusha wanaweza kumteka na kumpeleka kwenye mateso ya kuliwa na siafu mpaka kifo ama kurekodiwa video ya kumuondoa utu,
Baba yake wakati anahojiwa alisema ofisi ya jamaa ipo jengo lilelile.Sasa mbona siku zote alikuwa hajirushi,why now?
 
Back
Top Bottom