Watu wengi wanaamini mimi ni Genius Lakini Mimi Sioni Hilo!

Watu wengi wanaamini mimi ni Genius Lakini Mimi Sioni Hilo!

Nilisoma Shule (Ya Msingi) ambayo Mama alisoma na waalimu wa Pale waliokuwa wanamjua mama wakadai Umerithi Akili za Mama yako, wakaenda mbali kwamba Mom was a Genius hakuwahi shika Namba tatu alifeli sana akashika namba mbili na it was once!

Aah kwa kuwa nilikuwa mtoto wala sikujali sana kuhusu ilo, ila nnachokumbuka ni kwamba i learned everything fast.

Sikumbuki lini nimejua kusoma ila nakumbuka hata before darasa la kwanza nilikuwa najua mathematics.

Hio hali ikaendelea Mpaka O level, A level na Maisha yangu ya kawaida mtaani popote pale ntapoishi! they consider me as a genius!

mpaka kwenye mazungumzo nikizungumza na mtu finaly nasikia kwa washakji au marafiki zake kwamba the guy is genius lakini mimi sitambui hilo!

sasa wanainteleijensia nisaidieni how can i feel it if i am genius?
IMG_20180205_192015_185.JPG

Hata le profeseeeee Lipumba alikua genius ila alipoishia Mungu ndio anajua

Ahsante
 
Hebu pitia kwa Teacher Deo atakufumbulia fumbo hili.Ikishindikana muone Dr.Shika hata kama kuna tatizo atatibu;na ikishindikana kabisa mtembelee "Nabii"Tito kwa ushauri zaidi
akishafaulu huo uhitimu wa hayo masomo toka kwa hao manguli uliowataja ..basii jiandae kumuona siku akiwa kavua nguo nakujinadi kuwa suit yake sio yakushonesha..kitu from dubai
 
wanakwambia una ugenius wa nn ?? kuna ugenius wa kufaulu test darasani,kuna wa kuimba,kuna wa kuigiza,kuna wa kutapeli watu n.k
je wako ni upi??
hajui kama u genius upo kwenye sekta tofauti...
 
Haya labda aongee the bold tutaelewa!we hujawahi hata kuleta cha maana humu zaidi kujisifia we na mazeri wako
 
Mtaalam, inaonekana umezungukwa na watu wanafki mnoo... jitahid kutafuta marafik wapya..
Halaf kuna sehem umeandika finaly... bila shaka ulitaka kuandika finally... kuwa makin kwenye mambo kama hizo mkuu.
 
Back
Top Bottom