GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Binadamu yoyote aliyebarikiwa ' IQ ' kubwa na Mwenyezi Mungu lazima tu atakuwa anampenda Lionel Messi ambaye huwa anafanya sana Vitu adimu Uwanjani ambavyo pia vinahitaji Akili lakini wale wasio nazo lazima tu watafanana na Christiano Ronaldo ambaye hutumia nguvu nyingi Uwanjani pasipo akili.
Utafiti wa ' Kienyeji ' uliofanywa na GENTAMYCINE umegundua ya kwamba kila akikutana na Watu ambao wanampenda na kumkubali sana Lionel Messi huwa naona wengi Wao huwa ni ' Very Intelligent people ' tofauti na wale ambao mara nyingi mno nimekuwa nikikutana nao na Kugundua wanampenda Christiano Ronaldo ambao Kiukweli hata uwezo Wao wa Kufikiri huwa ni mdogo hadi wanatia Huruma.
Huchukua Miezi mitatu hadi minne kwa Christiano Ronaldo Kuiga kile ambacho hukifanya Lionel Messi Uwanjani ila humchukua tu Siku moja Lionel Messi kufanya kile ambacho kimefanywa na Christiano Ronaldo. Na ndiyo maana hata Wanasayansi wengi sana Ulimwenguni wamembatiza Lionel Messi jina la ' Football Genius of the Century ' kwa Vitu vyake adimu ila Wanasayansi hao hao hawakuwa na muda mchafu wa Kupoteza kuanza Kumjadili Christiano Ronaldo na aina ya Uchezaji wake kwani wameona kuwa hana Kitu cha Kumfananisha / Kumlinganisha na aliyezaliwa na Mpira wake Lionel Messi.
Ukitaka nawe ujulikane una IQ kubwa basi kuanzia leo anza Kumpenda na Kumkubali Lionel Messi ila ukitaka uanze Kuonekana ' hamnazo ' Kichwani basi Wewe mpende tu Christiano Ronaldo ambaye Yeye anachokijua ni Kutumia tu ' Miguvu ' ndipo afunge wakati Mwenzake anatumia 98% Akili na hizo 2% ndiyo Nguvu na pia Mpira wenyewe huwa unamuheshimu Yeye wakati Christiano Ronaldo huwa anaulazimisha Mpira umuheshimu.
Nawasilisha.
Utafiti wa ' Kienyeji ' uliofanywa na GENTAMYCINE umegundua ya kwamba kila akikutana na Watu ambao wanampenda na kumkubali sana Lionel Messi huwa naona wengi Wao huwa ni ' Very Intelligent people ' tofauti na wale ambao mara nyingi mno nimekuwa nikikutana nao na Kugundua wanampenda Christiano Ronaldo ambao Kiukweli hata uwezo Wao wa Kufikiri huwa ni mdogo hadi wanatia Huruma.
Huchukua Miezi mitatu hadi minne kwa Christiano Ronaldo Kuiga kile ambacho hukifanya Lionel Messi Uwanjani ila humchukua tu Siku moja Lionel Messi kufanya kile ambacho kimefanywa na Christiano Ronaldo. Na ndiyo maana hata Wanasayansi wengi sana Ulimwenguni wamembatiza Lionel Messi jina la ' Football Genius of the Century ' kwa Vitu vyake adimu ila Wanasayansi hao hao hawakuwa na muda mchafu wa Kupoteza kuanza Kumjadili Christiano Ronaldo na aina ya Uchezaji wake kwani wameona kuwa hana Kitu cha Kumfananisha / Kumlinganisha na aliyezaliwa na Mpira wake Lionel Messi.
Ukitaka nawe ujulikane una IQ kubwa basi kuanzia leo anza Kumpenda na Kumkubali Lionel Messi ila ukitaka uanze Kuonekana ' hamnazo ' Kichwani basi Wewe mpende tu Christiano Ronaldo ambaye Yeye anachokijua ni Kutumia tu ' Miguvu ' ndipo afunge wakati Mwenzake anatumia 98% Akili na hizo 2% ndiyo Nguvu na pia Mpira wenyewe huwa unamuheshimu Yeye wakati Christiano Ronaldo huwa anaulazimisha Mpira umuheshimu.
Nawasilisha.