Watu wengi wanaompenda Lionel Messi wana IQ kubwa mno kuliko wale ambao wanampenda Christiano Ronaldo ambao wana chache

Watu wengi wanaompenda Lionel Messi wana IQ kubwa mno kuliko wale ambao wanampenda Christiano Ronaldo ambao wana chache

ngoja tuwaelimishe waliokua wanamuona Messi yupo juu kama mimi hapo awali!
Sema umuhimu wa Messi umeonekana wapi?katika ligi ngapi?
Ronaldo EPL La liga na Sasa ya Italy na atanyakua hii uefa akiwa na timu tofauti

Hivi mkuu unaweza kuhama kutoka Masaki kwenda kuishi Tandika
Ipi ligi bora kati ya ulizotaja na Spain ???
 
Football sio miti shamba, weka nguvu nyingi kwenye miti shamba utafanikiwa kwa utafiti, CR7 ni tumaini katika wakati mgumu, Messi anatumainiwa akiwa anacheza na sevilla
 
Binadamu yoyote aliyebarikiwa ' IQ ' kubwa na Mwenyezi Mungu lazima tu atakuwa anampenda Lionel Messi ambaye huwa anafanya sana Vitu adimu Uwanjani ambavyo pia vinahitaji Akili lakini wale wasio nazo lazima tu watafanana na Christiano Ronaldo ambaye hutumia nguvu nyingi Uwanjani pasipo akili.

Utafiti wa ' Kienyeji ' uliofanywa na GENTAMYCINE umegundua ya kwamba kila akikutana na Watu ambao wanampenda na kumkubali sana Lionel Messi huwa naona wengi Wao huwa ni ' Very Intelligent people ' tofauti na wale ambao mara nyingi mno nimekuwa nikikutana nao na Kugundua wanampenda Christiano Ronaldo ambao Kiukweli hata uwezo Wao wa Kufikiri huwa ni mdogo hadi wanatia Huruma.

Huchukua Miezi mitatu hadi minne kwa Christiano Ronaldo Kuiga kile ambacho hukifanya Lionel Messi Uwanjani ila humchukua tu Siku moja Lionel Messi kufanya kile ambacho kimefanywa na Christiano Ronaldo. Na ndiyo maana hata Wanasayansi wengi sana Ulimwenguni wamembatiza Lionel Messi jina la ' Football Genius of the Century ' kwa Vitu vyake adimu ila Wanasayansi hao hao hawakuwa na muda mchafu wa Kupoteza kuanza Kumjadili Christiano Ronaldo na aina ya Uchezaji wake kwani wameona kuwa hana Kitu cha Kumfananisha / Kumlinganisha na aliyezaliwa na Mpira wake Lionel Messi.

Ukitaka nawe ujulikane una IQ kubwa basi kuanzia leo anza Kumpenda na Kumkubali Lionel Messi ila ukitaka uanze Kuonekana ' hamnazo ' Kichwani basi Wewe mpende tu Christiano Ronaldo ambaye Yeye anachokijua ni Kutumia tu ' Miguvu ' ndipo afunge wakati Mwenzake anatumia 98% Akili na hizo 2% ndiyo Nguvu na pia Mpira wenyewe huwa unamuheshimu Yeye wakati Christiano Ronaldo huwa anaulazimisha Mpira umuheshimu.

Nawasilisha.
Mbona wewe unayo IQ ndogo na bado unampenda messi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu yoyote aliyebarikiwa ' IQ ' kubwa na Mwenyezi Mungu lazima tu atakuwa anampenda Lionel Messi ambaye huwa anafanya sana Vitu adimu Uwanjani ambavyo pia vinahitaji Akili lakini wale wasio nazo lazima tu watafanana na Christiano Ronaldo ambaye hutumia nguvu nyingi Uwanjani pasipo akili.

Utafiti wa ' Kienyeji ' uliofanywa na GENTAMYCINE umegundua ya kwamba kila akikutana na Watu ambao wanampenda na kumkubali sana Lionel Messi huwa naona wengi Wao huwa ni ' Very Intelligent people ' tofauti na wale ambao mara nyingi mno nimekuwa nikikutana nao na Kugundua wanampenda Christiano Ronaldo ambao Kiukweli hata uwezo Wao wa Kufikiri huwa ni mdogo hadi wanatia Huruma.

Huchukua Miezi mitatu hadi minne kwa Christiano Ronaldo Kuiga kile ambacho hukifanya Lionel Messi Uwanjani ila humchukua tu Siku moja Lionel Messi kufanya kile ambacho kimefanywa na Christiano Ronaldo. Na ndiyo maana hata Wanasayansi wengi sana Ulimwenguni wamembatiza Lionel Messi jina la ' Football Genius of the Century ' kwa Vitu vyake adimu ila Wanasayansi hao hao hawakuwa na muda mchafu wa Kupoteza kuanza Kumjadili Christiano Ronaldo na aina ya Uchezaji wake kwani wameona kuwa hana Kitu cha Kumfananisha / Kumlinganisha na aliyezaliwa na Mpira wake Lionel Messi.

Ukitaka nawe ujulikane una IQ kubwa basi kuanzia leo anza Kumpenda na Kumkubali Lionel Messi ila ukitaka uanze Kuonekana ' hamnazo ' Kichwani basi Wewe mpende tu Christiano Ronaldo ambaye Yeye anachokijua ni Kutumia tu ' Miguvu ' ndipo afunge wakati Mwenzake anatumia 98% Akili na hizo 2% ndiyo Nguvu na pia Mpira wenyewe huwa unamuheshimu Yeye wakati Christiano Ronaldo huwa anaulazimisha Mpira umuheshimu.

Nawasilisha.
umeiweka kitaalamu sana..! Kweli IQ kubwa hii
 
ngoja tuwaelimishe waliokua wanamuona Messi yupo juu kama mimi hapo awali!
Sema umuhimu wa Messi umeonekana wapi?katika ligi ngapi?
Ronaldo EPL La liga na Sasa ya Italy na atanyakua hii uefa akiwa na timu tofauti

Sasa kama tayari tu unajiita / unaitwa Bongo Lala kwanini Mimi nipoteze muda wangu muhimu Kukuelimisha Wewe?
 
mkuu kwani unateseka na matokeo ya jana!!?

Kwann uteseke??

Lionel Messi ameshafanya mara 51 zaidi ya mara 9 ya alichokifanya huyo Christiano Ronaldo wenu hapo jana. Magoli yenyewe yote ni ya Ndondokela / Kubahatsha tupu.
 
Football sio miti shamba, weka nguvu nyingi kwenye miti shamba utafanikiwa kwa utafiti, CR7 ni tumaini katika wakati mgumu, Messi anatumainiwa akiwa anacheza na sevilla

Umeanza Kuvuta Bange / Bangi lini?
 
Binadamu yoyote aliyebarikiwa ' IQ ' kubwa na Mwenyezi Mungu lazima tu atakuwa anampenda Lionel Messi ambaye huwa anafanya sana Vitu adimu Uwanjani ambavyo pia vinahitaji Akili lakini wale wasio nazo lazima tu watafanana na Christiano Ronaldo ambaye hutumia nguvu nyingi Uwanjani pasipo akili.

Utafiti wa ' Kienyeji ' uliofanywa na GENTAMYCINE umegundua ya kwamba kila akikutana na Watu ambao wanampenda na kumkubali sana Lionel Messi huwa naona wengi Wao huwa ni ' Very Intelligent people ' tofauti na wale ambao mara nyingi mno nimekuwa nikikutana nao na Kugundua wanampenda Christiano Ronaldo ambao Kiukweli hata uwezo Wao wa Kufikiri huwa ni mdogo hadi wanatia Huruma.

Huchukua Miezi mitatu hadi minne kwa Christiano Ronaldo Kuiga kile ambacho hukifanya Lionel Messi Uwanjani ila humchukua tu Siku moja Lionel Messi kufanya kile ambacho kimefanywa na Christiano Ronaldo. Na ndiyo maana hata Wanasayansi wengi sana Ulimwenguni wamembatiza Lionel Messi jina la ' Football Genius of the Century ' kwa Vitu vyake adimu ila Wanasayansi hao hao hawakuwa na muda mchafu wa Kupoteza kuanza Kumjadili Christiano Ronaldo na aina ya Uchezaji wake kwani wameona kuwa hana Kitu cha Kumfananisha / Kumlinganisha na aliyezaliwa na Mpira wake Lionel Messi.

Ukitaka nawe ujulikane una IQ kubwa basi kuanzia leo anza Kumpenda na Kumkubali Lionel Messi ila ukitaka uanze Kuonekana ' hamnazo ' Kichwani basi Wewe mpende tu Christiano Ronaldo ambaye Yeye anachokijua ni Kutumia tu ' Miguvu ' ndipo afunge wakati Mwenzake anatumia 98% Akili na hizo 2% ndiyo Nguvu na pia Mpira wenyewe huwa unamuheshimu Yeye wakati Christiano Ronaldo huwa anaulazimisha Mpira umuheshimu.

N
1552479935606.png
awasilisha.
 
Nakuhurumia sana Mtoa mada Unateseka sana, Ronaldo Taifa lake kalipa kombe la Euro sasa huyo mtu mfupi kaisaidia nini Argentina?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ujanja wake woote Barcelona ila Mnyama Kaanzia kwao Portugal Sporting Lisbon kaenda Man u, kaenda Madrid na sasa yupo juve kote anakiwasha [emoji41][emoji41][emoji41] ila huyo andunje kwenye Taifa lake tu panamshinda je akihama League? Usimfananishe Ronaldo na mambo ya kipumbavu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa kama tayari tu unajiita / unaitwa Bongo Lala kwanini Mimi nipoteze muda wangu muhimu Kukuelimisha Wewe?
Cristiano Ronaldo goes past 60 #UCL knockout goals!

⚽️62 Ronaldo
⚽️40 Messi
 
Back
Top Bottom