Watu wengi wanaompenda Lionel Messi wana IQ kubwa mno kuliko wale ambao wanampenda Christiano Ronaldo ambao wana chache

Watu wengi wanaompenda Lionel Messi wana IQ kubwa mno kuliko wale ambao wanampenda Christiano Ronaldo ambao wana chache

Mkuu nilipokuambia kuwa wale wote wanaomshabikia Christiano Ronaldo uwezo wao wa ' Akili ' ni mdogo sana ulikuwa huamini? Naona sasa kwa hiyo ' Post ' ya BONGOLALA kama ambavyo hata ' Akili ' yake pia ' imelala ' hivyo hivyo ameweza Kulithibitisha hilo.
Hahaa jamaa ameni shangaza sana .. now nimeamini maneno yaliyopo kwenye thread yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja tuwaelimishe waliokua wanamuona Messi yupo juu kama mimi hapo awali!
Sema umuhimu wa Messi umeonekana wapi?katika ligi ngapi?
Ronaldo EPL La liga na Sasa ya Italy na atanyakua hii uefa akiwa na timu tofauti
Hahaa mkuu kweli wewe bongo lala .. ulitaka messi aende kucheza team ipi zaidi ya barca ... hadhi ya leonel messi ni team mbili tu duniani ... barca na real ..kwa sababu ndio timu ambazo huwa zipo kwenye 3, bora ya timu zinazo ongoza kwa uingizaji mapato duniani ... ndio timu zinazo ongoza kwa kulitawala soccer la ulaya mnamo karne hii ya 21, ushahidi nadhani unao kwa kipindi cha takribani miaka 10 timu za Spain ndio zimeongoza kwa kucheza final uefa na kufika nusu final ... ulitaka messi ahame Spain akacheze Epl kwenye league ambayo timu zake zina struggle hata namna ya kufuzu kuingia robo final uefa uko serious kweli .... sometimes timu hizo hizo huwa zinashindwa hata namna ya kuweza kupita Kwenye makundi na huwa zinakosa tickets ya kushiriki katika mashindano ya uefa .. Chelsea .liver. arsenal zote zimeshawahi kupitia hali hii ....

So hizo ndio club Ambazo unazotaka GOAT messi asajiliwe nazo hahaa tutake radhi aisee "!!!!

Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Cr7 huwa ana kataa kurejea man u .... jibu ni simple tu kwasababu haitaji kwenda katika club ambayo imekosa uwezo wa ushindani ulaya ... sasa kama ronaldo tu ambaye alipitia kwenye mikono ya epl hataki kurudi huko hali itakuwa iko vipi kwa messi !!!?

Ukweli ndio huu kama hautaki basi pasuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa mkuu kweli wewe bongo lala .. ulitaka messi aende kucheza team ipi zaidi ya barca ... hadhi ya leonel messi ni team mbili tu duniani ... barca na real ..kwa sababu ndio timu ambazo huwa zipo kwenye 3, bora ya timu zinazo ongoza kwa uingizaji mapato duniani ... ndio timu zinazo ongoza kwa kulitawala soccer la ulaya mnamo karne hii ya 21, ushahidi nadhani unao kwa kipindi cha takribani miaka 10 timu za Spain ndio zimeongoza kwa kucheza final uefa na kufika nusu final ... ulitaka messi ahame Spain akacheze Epl kwenye league ambayo timu zake zina struggle hata namna ya kufuzu kuingia robo final uefa uko serious kweli .... sometimes timu hizo hizo huwa zinashindwa hata namna ya kuweza kupita Kwenye makundi na huwa zinakosa tickets ya kushiriki katika mashindano ya uefa .. Chelsea .liver. arsenal zote zimeshawahi kupitia hali hii ....

So hizo ndio club Ambazo unazotaka GOAT messi asajiliwe nazo hahaa tutake radhi aisee "!!!!

Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Cr7 huwa ana kataa kurejea man u .... jibu ni simple tu kwasababu haitaji kwenda katika club ambayo imekosa uwezo wa ushindani ulaya ... sasa kama ronaldo tu ambaye alipitia kwenye mikono ya epl hataki kurudi huko hali itakuwa iko vipi kwa messi !!!?

Ukweli ndio huu kama hautaki basi pasuka

Sent using Jamii Forums mobile app
Messi aonyeshe uwezo wake katika ligi tofauti ni hilo tuu.CR7 kaonyesha
 
Back
Top Bottom