Watu wenye Akili nyingi na matajiri hujadili IDEAS mfano Trump ameshambuliwa hajarusha dongo kwa yeyote, wenye akili ndogo kama Lissu hujadili watu

Watu wenye Akili nyingi na matajiri hujadili IDEAS mfano Trump ameshambuliwa hajarusha dongo kwa yeyote, wenye akili ndogo kama Lissu hujadili watu

Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Dhambi ya kuua na kuteka itaendelea kuwatesa kwa miaka mingi sana.
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Huku wenye silaha kubwa ni majeshi!!

Kule USA Kila mtu ana silaha kubwa!! Kule USA mtu yeyote anaweza kuhusishwa.
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Kwa kitendo chako cha kujadili watu umejitoa miongoni mwa Wenye akili?
 
You are uninformed, Trump ana Hekima? Unamjua Trump kweli wewe?

Tatizo JF kuna watu hata news hawafuatilii .... wanasoma heading tu za magazeti ya Udaku halafu wanaingia majukwaani kuleta mijadala na kujifanya wanajenga hoja. Mlema thread ni typical one of them....!!
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Una akili kweli wewe? wakati uaandika ulishirikisha ubongo wako au umeandika tu...
 
Back
Top Bottom