Na hata mwanya kwenye meno pia.Dimpoz pia ni ulemavu wanasema ni kilema pendwa.
Nilipitia jarida moja nilikutana na hii kitu.
Tayari wewe ni mlemavuMiguu yangu haina uvungu afu dimpoz ninazo pia niko fiti tu acheni uchochezi.
mmh fiti wapi?Miguu yangu haina uvungu afu dimpoz ninazo pia niko fiti tu acheni uchochezi.
Una ID ngapi wwWasiokuwa na uvungu hawawezi kukimbia sana na nyayo zinawahi kuchoka
Chanzo:Mjeda akiyekaribu yangu
invest what you are willing to loose
Ile nimesahau password ndo nimeachana nayo
Mzima nimekumiss tuIle nimesahau password ndo nimeachana nayo
Mzima wewe
invest what you are willing to loose
Mhuu. [emoji134][emoji134][emoji134]Hata hips ni ulemavu
Zina athari gani mkuu?Dimpoz pia ni ulemavu wanasema ni kilema pendwa.
Nilipitia jarida moja nilikutana na hii kitu.
Nyie hamchelewi kusema ata wenye vipara ni walemavu, ni maumbile tu.Tayari wewe ni mlemavu
Una hamu ya kujua?mmh fiti wapi?
ndiyo mkuuUna hamu ya kujua?
Weka pichaMiguu yangu haina uvungu afu dimpoz ninazo pia niko fiti tu acheni uchochezi.
HahahaaWeka picha
Jeshi linataka watu timamu kutokana na ugumu wa kazi wanazofanya. Mtu asiye na uvungu nyayoni anachoka haraka akitembea umali mrefu ni rahisi kupata malenge malenge akivaa buti n.k lkn jeshi pia linataka mtu Mwenye meno yote 32 linataka mvulana rijali linataka msichana na mvulana asiyewahi kuingiliwa kinyume cha maumbile linataka kijana asiye na mshono utokanao na operesheni pia halitaki aliyeathirika na ugonjwa wowote..jeshi linataka kijana mkakamavu kimuonekano na kisayansi.Nilikua nasikia sikia tu kuwa watu wenye miguu flat chini
yaani nyao zao hazina uvungu katikati huwa hawaruhusiwi kujiunga na jeshi
sababu hawataweza mikikimikiki ya jeshi hasa kukimbia mchakamchaka
Juzi kati nimethibitishiwa na watu wa jeshini kuwa ni kweli kabla ya kujiunga
jeshini lazima ukaguliwe miguu na ukikutwa ni flat feet hawakuchukui
Niko very very curious na hili.....
je hii ni scientific theory?
nchi zote inatumika hii au kwetu tu??
Na mtu kuwa na miguu flat maana yake ana afya dhaifu?
kuna yeyote anaeweza kunipa maelezo zaidi?