Watu wenye miguu flat ..wana shida gani?

Watu wenye miguu flat ..wana shida gani?

Wengi nimeshuhudia wakisumbuliwa na matatizo ya miguu
 
all shoes have arc support for supporting arc of the foot ,and this is also applicable for people with weak arc(flat foot).But it doesnt apply for people with severe flat foot
 
Nilikua nasikia sikia tu kuwa watu wenye miguu flat chini
yaani nyao zao hazina uvungu katikati huwa hawaruhusiwi kujiunga na jeshi
sababu hawataweza mikikimikiki ya jeshi hasa kukimbia mchakamchaka

Juzi kati nimethibitishiwa na watu wa jeshini kuwa ni kweli kabla ya kujiunga
jeshini lazima ukaguliwe miguu na ukikutwa ni flat feet hawakuchukui

Niko very very curious na hili.....

je hii ni scientific theory?
nchi zote inatumika hii au kwetu tu??

Na mtu kuwa na miguu flat maana yake ana afya dhaifu?

kuna yeyote anaeweza kunipa maelezo zaidi?
Jeshi linataka watu timamu kutokana na ugumu wa kazi wanazofanya. Mtu asiye na uvungu nyayoni anachoka haraka akitembea umali mrefu ni rahisi kupata malenge malenge akivaa buti n.k lkn jeshi pia linataka mtu Mwenye meno yote 32 linataka mvulana rijali linataka msichana na mvulana asiyewahi kuingiliwa kinyume cha maumbile linataka kijana asiye na mshono utokanao na operesheni pia halitaki aliyeathirika na ugonjwa wowote..jeshi linataka kijana mkakamavu kimuonekano na kisayansi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom