Watu wenye miguu flat ..wana shida gani?

Watu wenye miguu flat ..wana shida gani?

Screenshot_2017-07-22-18-41-39.png
nafikiri sio swala la hapa Tanzania tuu hiyo ni kutoka wikipedia. Ni swala ambalo linaendelea kufanyiwa tafiti zaidi.
 
Hata Mimi nimeambiwa hili jambo..nikauliza kwa nini,lakini muhusika hakunijibu.
 
Nilikua nasikia sikia tu kuwa watu wenye miguu flat chini
yaani nyao zao hazina uvungu katikati huwa hawaruhusiwi kujiunga na jeshi
sababu hawataweza mikikimikiki ya jeshi hasa kukimbia mchakamchaka

Juzi kati nimethibitishiwa na watu wa jeshini kuwa ni kweli kabla ya kujiunga
jeshini lazima ukaguliwe miguu na ukikutwa ni flat feet hawakuchukui

Niko very very curious na hili.....

je hii ni scientific theory?
nchi zote inatumika hii au kwetu tu??

Na mtu kuwa na miguu flat maana yake ana afya dhaifu?

kuna yeyote anaeweza kunipa maelezo zaidi?
Sio jibu la kitaalamu ila uzoefu wangu mdogo unaonesha ni ishu ya balansi. Sio jeshini tu, hata kwenye 'athletics', yaani michezo inayohusisha kukimbia-kimbia, watu wenye miguu bapa inawapa shida.

Jieleimishe; Flat feet - Wikipedia
 
Sio jibu la kitaalamu ila uzoefu wangu mdogo unaonesha ni ishu ya balansi. Sio jeshini tu, hata kwenye 'athletics', yaani michezo inayohusisha kukimbia-kimbia, watu wenye miguu bapa inawapa shida.

Jieleimishe; Flat feet - Wikipedia

Kuna hadi imani za kiswahili
umewahi zisikia pia?
 
Kuna hadi imani za kiswahili
umewahi zisikia pia?
Mimi mtamaduni. Imani za Kiswahili zinamaanisha imani za Watu wa Pwani ya Afrika Mashariki na Visiwa vyake i.e Waswahili.
Ndivyo ulivyoka-maanisha?
 
Back
Top Bottom