The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
- Thread starter
- #41
Mimi mtamaduni. Imani za Kiswahili zinamaanisha imani za Watu wa Pwani ya Afrika Mashariki na Visiwa vyake i.e Waswahili.
Ndivyo ulivyoka-maanisha?
Inaweza kuwa pwani au la
ninamaanisha umewahi sikia imani juu ya flat feet kwa kabila lolote
au watu wa pande zozote zile Tz?