Watu wenye nafasi fulani ofisini acheni dharau na kujisikia

Watu wenye nafasi fulani ofisini acheni dharau na kujisikia

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Sikupata mshangao sana yule askari wa Uganda "aliemmiminia" njugu wale officers pale ofisini wala hakumpiga risasi mtu mwingine kwa sababu target yake ni hao officer wenye dharau na kujibu watu hovyo hovyo.

Nyie mliopata nafasi/kubahatika kukaa ofisini wahudumieni watu kwa upendo na staha, ikitokea mtu amekosea acha kukejeli bali elekeza kwa upendo, ego inawatafuna sana na wengi wanajiona kama ndio Mungu watu.

Mzee wangu mstaafu alinituma niende nikafatilie mafao nikamkuta jamaa amekaa ofisini pale kwanza anajibu kwa kujisikia na ukali utadhani anamwambia mtoto mdogo nilichomwambia ache kuongea kama vile anaongea na mtoto mdogo hasira nilizokua nazo basi tu.

Imepita muda sasa baada ya kutamani kumpiga kofi jamaa mmoja baada ya mimi kukosea kitu na kuanza kunijikejeli na kunidhalilisha kwa kujibu hovyo hovyo.

Kwani ukimuelekeza mtu kwa upendo na kujali unapungukiwa na nini? Acheni ego za kipuuzi puuzi haswa kwa mtu usiemjua, hujui ametokea wapi anawaza nini au anapitia nini.

Nawasilisha.
 
Hata wasio na vyeo na ofisi wapo wanao jibu watu vibaya hiyo ni hurka ya mtu haibadiliki eti kisa kapata ofisi au ana hela kidogo... Hapa JF tuu kuna watu ni nyodo kwa kwenda mbele na hatujuani vyeo vyetu.
 
Sio watumishi wote wapo hivyo, kuna baadhi huudumia vizuri na kwa weledi.

Muhimu kila mmoja awajibike kwenye eneo lake
 
Sikupata mshangao sana yule askari wa Uganda "aliemmiminia" njugu wale officers pale ofisini wala hakumpiga risasi mtu mwingine kwa sababu target yake ni hao officer wenye dharau na kujibu watu hovyo hovyo.

Nyie mliopata nafasi/kubahatika kukaa ofisini wahudumieni watu kwa upendo na staha, ikitokea mtu amekosea acha kukejeli bali elekeza kwa upendo, ego inawatafuna sana na wengi wanajiona kama ndio Mungu watu.

Mzee wangu mstaafu alinituma niende nikafatilie mafao nikamkuta jamaa amekaa ofisini pale kwanza anajibu kwa kujisikia na ukali utadhani anamwambia mtoto mdogo nilichomwambia ache kuongea kama vile anaongea na mtoto mdogo hasira nilizokua nazo basi tu.

Imepita muda sasa baada ya kutamani kumpiga kofi jamaa mmoja baada ya mimi kukosea kitu na kuanza kunijikejeli na kunidhalilisha kwa kujibu hovyo hovyo.

Kwani ukimuelekeza mtu kwa upendo na kujali unapungukiwa na nini? Acheni ego za kipuuzi puuzi haswa kwa mtu usiemjua, hujui ametokea wapi anawaza nini au anapitia nini.

Nawasilisha.
Wasemehe bure,ni ulimbukeni tu unawasumbua, wakitolewa kwenye kiti wanakua wapole Kama Kuku wa Kisasa! Ila kuna wengine wako vizuri sana, Wazungu wanasema "down to earth!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sio watumishi wote wapo hivyo, kuna baadhi huudumia vizuri na kwa weledi.

Muhimu kila mmoja awajibike kwenye eneo lake
Hawa watu hua wanaiangalia mtu na mtu, sehemu pakee utapewa lugha ya ukaribisho mzuri ni bank na baadhi ya hospital private tu maana wanaohitaji Pesa yako, watoa huduma wengine ni kisanga hadi kwenye mitandao ya simu elimu ya customer care & communication skills plus saikolojia ya wateja uwahudumie vipi maana wateja hawafanani ni muhimu sana hawa watu wapatiwe hio elimu kila siku asubuhi kabla ya kufungua ofisi ili wasiishi kwa kusahau na pia kuwe na kipengele Cha kutoa malalamiko kuhusu mtoa huduma fulani ili hatua za kinidhamu zichukuliwe wengine walichojifunza shuleni hawakifanyii utendaji wanapokua field kinakua kimeishia kwenye kujibu mitihani tu
 
Hawa watu hua wanaiangalia mtu na mtu, sehemu pakee utapewa lugha ya ukaribisho mzuri ni bank na baadhi ya hospital private tu maana wanaohitaji Pesa yako, watoa huduma wengine ni kisanga hadi kwenye mitandao ya simu elimu ya customer care & communication skills plus saikolojia ya wateja uwahudumie vipi maana wateja hawafanani ni muhimu sana hawa watu wapatiwe hio elimu kila siku asubuhi kabla ya kufungua ofisi ili wasiishi kwa kusahau na pia kuwe na kipengele Cha kutoa malalamiko kuhusu mtoa huduma fulani ili hatua za kinidhamu zichukuliwe wengine walichojifunza shuleni hawakifanyii utendaji wanapokua field kinakua kimeishia kwenye kujibu mitihani tu
Ni muhimu hilo kuzingatiwa, customer service yetu Wabongo ni poor sana.

Wengi huona kwa kuwa ameajiriwa kitengo basi amepatia sana maisha.

Unaweza kuta PS tu anatoa majibu utasema yeye ndiyo boss, Utasikia njoo kesho boss leo ana kazi nyingi 🙌

Ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom