Kuna baadhi ya watu wenye bia mbaya na Serikali ya Rais Samia Suluhu walikua makini kusikia suala la ushoga lakini haijawa hivyo Rais Samia Suluhu hawezi kuruhusu huo upuuzi katika nchi yetu nimesikiliza speech kwa makini sana Rais Samia Suluhu amejikita katika kuhakikisha Tanzania inaendelea kiuchumi, kisiasa na kijamii
na ndio maaana makamu wa Rais Kamala Harris amempompongeza kwauongozi wake uliotukuka
Amesema:
"Mheshimiwa Rais chini ya uongozi wako, Tanzania imepiga hatua muhimu, mimi na Rais Joe Biden tunakupongeza. Umekuwa wazi kufanya kazi na upinzani wa kisiasa, umeondoa marufuku ya mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa na umeboresha uhuru wa vyombo vya habari."- Kamala Harris
Hii inathibitisha kuwa Dunia nzima inatambua kuwa Tanzania ni salama na Samia na sisi Watanzania tunajivunia kuwa na kiongozi anaeweka mbele maendeleo ya nchi.
na ndio maaana makamu wa Rais Kamala Harris amempompongeza kwauongozi wake uliotukuka
Amesema:
"Mheshimiwa Rais chini ya uongozi wako, Tanzania imepiga hatua muhimu, mimi na Rais Joe Biden tunakupongeza. Umekuwa wazi kufanya kazi na upinzani wa kisiasa, umeondoa marufuku ya mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa na umeboresha uhuru wa vyombo vya habari."- Kamala Harris
Hii inathibitisha kuwa Dunia nzima inatambua kuwa Tanzania ni salama na Samia na sisi Watanzania tunajivunia kuwa na kiongozi anaeweka mbele maendeleo ya nchi.