Watu wenye uwezo wa Ajabu Duniani

Watu wenye uwezo wa Ajabu Duniani

Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.

Ni uwezo wa ajabu mno kuona miaka miwili before kuwa lockdown za corona ni upuuzi mtupu
17) kuna Hawa mataga wana uwezo wa kufikiri kwa kutumia Tumbo na makalii wanapatikana Tanganyika
 
Yule dogo wa Morogoro, Charles Mathias anaweza kabisa kufika level ya huyo mtaalamu wa hesabu kama hawatamharibu na elimu yetu hii ya kibongo isiyoeleweka. Dogo ni mkali sana wa hesabu ilhali hajui kusoma na kuandika
 
mkuu siku zote madikteta uchwara hufa vifo vya kiboya Sana harafu utakuta kitu kilichomuua ndio alikua anakichukulia poa
Hata Hitler alikua anawachukulia poa warusi akajua kua strong weapon zake zitawafyeka ndani ya wiki ajabu alisota nao mbaka akajuta kuwachukulia poa pale staringard battle jeshi lake lilikua linakula kichapo na vikundi vya mademu wabishi wa kirusi mbaka akaamua atumie silaha za maangamizi
Imagine mkuu unatumia AK 47 machine gun kumuulia panya ndani kwako what a joke!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
magufuli amaendelea kuwabaka aisee.
 
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.

Ni uwezo wa ajabu mno kuona miaka miwili before kuwa lockdown za corona ni upuuzi mtupu
Hatma yake Covid19 ikamuondoa na ujuaji wake wa kisukuuma
 
interesting!!!

lakini nilifikiri tunaposema 'uwezo' ni hali ya kuamua kufanya hicho kinachofanyika, sasa hizo namba 9,12 na 13 inaonekana kama wana matatizo (ulemavu) tu hao watu. huko kuota waya anaamua yeye mwenyewe? au huyo anayeota nywele usoni anaamua mwenyewe hadi tuite uwezo?!!!!
 
Asante mkuu kwa marekebisho hayo ngoja tuongee na BAKITA watutoe utata
interesting!!!

lakini nilifikiri tunaposema 'uwezo' ni hali ya kuamua kufanya hicho kinachofanyika, sasa hizo namba 9,12 na 13 inaonekana kama wana matatizo (ulemavu) tu hao watu. huko kuota waya anaamua yeye mwenyewe? au huyo anayeota nywele usoni anaamua mwenyewe hadi tuite uwezo?!!!!
 
Yule dogo wa Morogoro, Charles Mathias anaweza kabisa kufika level ya huyo mtaalamu wa hesabu kama hawatamharibu na elimu yetu hii ya kibongo isiyoeleweka. Dogo ni mkali sana wa hesabu ilhali hajui kusoma na kuandika
Ngoja tusubiri kama dogo ataendelezwa au atapotezwa
 
Mbona mzee alikuwa anajua barabara za
Tz nzima kwa kichwa na Kandarasi karibia zooote Tz kwa majina,number za samaki baharini ,na maziwani kwa kichwa ila guiness s book MNA roho mbaya sana...Pumzika kwa amani Chuma.
 
Bila kumweka yule jamaaa anayekamata hadi nyoka hatari kama black mamba kama mnyoo uzi wako utakuwa haujakamilika...
 
Back
Top Bottom