Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
17) kuna Hawa mataga wana uwezo wa kufikiri kwa kutumia Tumbo na makalii wanapatikana TanganyikaMagufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.
Ni uwezo wa ajabu mno kuona miaka miwili before kuwa lockdown za corona ni upuuzi mtupu
John akijiskia kuchamba watanzania wavaa barakoa anaenda kuwachambia kanisaniIla John kaexit kiboya sana;eti kafia hospitali ya Mzena
magufuli amaendelea kuwabaka aisee.mkuu siku zote madikteta uchwara hufa vifo vya kiboya Sana harafu utakuta kitu kilichomuua ndio alikua anakichukulia poa
Hata Hitler alikua anawachukulia poa warusi akajua kua strong weapon zake zitawafyeka ndani ya wiki ajabu alisota nao mbaka akajuta kuwachukulia poa pale staringard battle jeshi lake lilikua linakula kichapo na vikundi vya mademu wabishi wa kirusi mbaka akaamua atumie silaha za maangamizi
Imagine mkuu unatumia AK 47 machine gun kumuulia panya ndani kwako what a joke!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wapi katajwa magufuli kwenye comment yangu mkuu mbona unapenda kukuza mambo Sana yaani Mimi Leo nimseme vibaya shujaa wetu alietuvusha kipindi kigumu?magufuli amaendelea kuwabaka aisee.
Hatma yake Covid19 ikamuondoa na ujuaji wake wa kisukuumaMagufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi.
Ni uwezo wa ajabu mno kuona miaka miwili before kuwa lockdown za corona ni upuuzi mtupu
Yule bwana alikuwa ni jangaJohn akijiskia kuchamba watanzania wavaa barakoa anaenda kuwachambia kanisani
interesting!!!
lakini nilifikiri tunaposema 'uwezo' ni hali ya kuamua kufanya hicho kinachofanyika, sasa hizo namba 9,12 na 13 inaonekana kama wana matatizo (ulemavu) tu hao watu. huko kuota waya anaamua yeye mwenyewe? au huyo anayeota nywele usoni anaamua mwenyewe hadi tuite uwezo?!!!!
Ngoja tusubiri kama dogo ataendelezwa au atapotezwaYule dogo wa Morogoro, Charles Mathias anaweza kabisa kufika level ya huyo mtaalamu wa hesabu kama hawatamharibu na elimu yetu hii ya kibongo isiyoeleweka. Dogo ni mkali sana wa hesabu ilhali hajui kusoma na kuandika
sawa kiongoziAsante mkuu kwa marekebisho hayo ngoja tuongee na BAKITA watutoe utata
Dah kweli upendeleo huu inatakiwa hili lijadiliwe bungeniMbona mzee alikuwa anajua barabara za
Tz nzima kwa kichwa na Kandarasi karibia zooote Tz kwa majina,number za samaki baharini ,na maziwani kwa kichwa ila guiness s book MNA roho mbaya sana...Pumzika kwa amani Chuma.