Watu Wenye Uzoefu Pekee Watakwambia Haya

Watu Wenye Uzoefu Pekee Watakwambia Haya

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241122_101348_Google.jpg

Kuepuka kuumia wakubali watu kama walivyo na sio kwa vile unavyotaka wao wawe. Kwasababu hawawezi kuwa kama unavyotaka

Tafuta amani kwa kufanya mambo yako na sio kufuatilia maisha au mambo ya watu wengine

Jiangalie na kujithamini wewe mwenyewe kwasababu lolote likikupata watu wanaendelea na maisha yao

Kila mtu baada ya mda fulani atajianika kwa tabia zake kwahiyo wewe wape mda tu

Asante kwa kusoma

Ni hayo tu!
 
View attachment 3158414
Kuepuka kuumia wakubali watu kama walivyo na sio kwa vile unavyotaka wao wawe. Kwasababu hawawezi kuwa kama unavyotaka

Tafuta amani kwa kufanya mambo yako na sio kufuatilia maisha au mambo ya watu wengine

Jiangalie na kujithamini wewe mwenyewe kwasababu lolote likikupata watu wanaendelea na maisha yao

Kila mtu baada ya mda fulani atajianika kwa tabia zake kwahiyo wewe wape mda tu

Asante kwa kusoma

Ni hayo tu
tendea wengine yale ambayo na wewe ungependa utendewe
 
Nimejitahidi kutokuelewa kila kitu hivi sasa,maana nilikuwa najaribu kuwaelewa watu wengine lakini kwa kweli sikuwaelewa zaidi ya maumivu,nilipokuja kugundua kuna waizi wa nishati yangu kwa kigezo cha upendo,lakini ukiyatizama matendo yao ni tofauti na wanayakwambia,nimefikia tamati hakuna mwenye uzoefu wa kuishi na binaadam,kila mtu anatofauti fulani kwenye mazingira yetu.
 
View attachment 3158414
Kuepuka kuumia wakubali watu kama walivyo na sio kwa vile unavyotaka wao wawe. Kwasababu hawawezi kuwa kama unavyotaka

Tafuta amani kwa kufanya mambo yako na sio kufuatilia maisha au mambo ya watu wengine

Jiangalie na kujithamini wewe mwenyewe kwasababu lolote likikupata watu wanaendelea na maisha yao

Kila mtu baada ya mda fulani atajianika kwa tabia zake kwahiyo wewe wape mda tu

Asante kwa kusoma

Ni hayo tu
Mkuu shukrani Sana ...
Sorry naweza kuniambia source ya kupata haya Maarifa?
 
Back
Top Bottom