System ya hapa nyumbani imewainuaje nyie MASKINI zaidi ya kuwaambie nyie MATAJIRI whilest nyie ni takataka mmejibanza kwenye UJINGA NA UFUKARA ULIOTUKUKA.system iliyopo south Africa ndio hiyo imetengenezwa kuwafanya hadi mtu kama wewe kuwaona wazulu nia wazembe, wavivu, hawana cha maana pale, ni kama observers tu kwenye nchi yao, uhuru wa bendera, lakini yote kwa yote ile ni nchi yao so kutokujielewa isiwe kigezo cha kuwanyima haki ya kua na total control ya mchi yao, waacheni kama ni kuharibi ni juu yao! ni kwao pale
UNAJIULIZA WAKIWA WANAPITA HAPO KUTOKA DODOMA HAWAONI AU MAKUSUDI.ITS WEARD TO BE A BLACK PERSON😀😀😀Hii kitu inanikera, kuna waziri wa vijana na ajira, waziri wa viwanda na biashara, kuna diwani, mkuu wa wilaya hawana mpango wowote, wengi ni wafaidika.
System ya hapa nyumbani imewainuaje nyie MASKINI zaidi ya kuwaambie nyie MATAJIRI whilest nyie ni takataka mmejibanza kwenye UJINGA NA UFUKARA ULIOTUKUKA.
MIJI MICHAFU EBU TOKENI HUKO NJE MKAJIONEE BINADAMU KAMILI WANAVYOISHI KATIKA USTAARABU NA MPANGILIO.
kama wewe huoni mimi sio kazi yangu kukuonesha, ila elewa kwamba kila mtu aachiwe uhuru wake hamna justification ya kusema eti mtu hajielewi umchukulie haki yake, big NO, wewe kama umezoea kua mzee wa ndio mzee ni wewe mkuuSystem ya hapa nyumbani imewainuaje nyie MASKINI zaidi ya kuwaambie nyie MATAJIRI whilest nyie ni takataka mmejibanza kwenye UJINGA NA UFUKARA ULIOTUKUKA.
MIJI MICHAFU EBU TOKENI HUKO NJE MKAJIONEE BINADAMU KAMILI WANAVYOISHI KATIKA USTAARABU NA MPANGILIO.
SA inajitosheleza kwa Kila kitu, USA wanatoa msaada kwenye AIDS(H.I.V) programs..Raisi wa SA keshasema ni hela ndogo...tafuta historia ya ADIS(H.I.V).Wameutengeneza wao,periodNimemwona prezda wao eti anajimwambafai kuwa baada ya us kuondoa misaada yao eti wana uwezo wa kutafuta suluhisho. Sasa unajiuliza kama kuna uwezo wa kuwa na suluhu kwanini utegemee msaada. Africa kweli ina janga la kiuongozi, watu wapo wapo tu na hotuba za maneno matamu ila hawana uwezo wowote wa kutatua matatizo yanayokabili nchi zao.
😂😂😂😂😂😂KweliMwafrika hata umuachie dunia nzima ataharibu kila kitu.
Hata tu aliyezaliwa mtoni.Kwa kifupi sana, sema tu mtu mweusi aliyezaliwa Africa analaana yake tayari 🙏🙏
Hela ndogo walizitaka za nini kama wanajitosheleza? Hayo ni maneno ya mkosaji tu.SA inajitosheleza kwa Kila kitu, USA wanatoa msaada kwenye AIDS(H.I.V) programs..Raisi wa SA keshasema ni hela ndogo...tafuta historia ya ADIS(H.I.V).Wameutengeneza wao,period
Mkuu nasisitiza hakuna aliyewanyang'anya wazungu ardhi hii sheria inaenda kuchukua ardhi isiyotumiwa ili apewe anayeweza kuendeleza hata aww mzunguMMEANZA KULETA PROOAGANDA ZENU MLIZOTULISHA HUKO ENZI ZA VIDATO.
📌📌📌NYIE WATU WA PROPAGANDA SKIENI VIZURI NA KWA UMAKINI.
LEO HII NCHI YETU ARIDHI IPO CHINI YA SERIKALI HAYA KUNA LIPI LIMEFANYIKA.ESTATE NGAPI ZIMEKUFA WANASIASA WAMEBAKI KUUZIANA KWA BEI YA KUTUPA.
YULE GABACHORI AMEUZIWA MASHAMBA YA MKONGE CHA ZAIDI ALICHOFANYA AMEYAKOPEA KUENDELEZA BIASHARA ZAKE ZA KITAPELI NA SUBSTANDARD.
📌📌📌KWA SISI WATU WENYE AKILI TIMAMU NI MARA 10,000 ARIDHI YA SOUTH AFRICA IENDELEE KUBAKI KWA MAKABURU KULIKO KUMILIKIWA NA POOR AND CORRUPT POLITICIANS AKINA ZUMA,RAMAPOSA NA MALEMA.
Acha kabisa yani tumepumbazwa kabisa yani mtu anaona hawezi kuishi bila ya mzungu hadi kwenye haki yake anaogopa kuongea ili asimuudhi mzunguKwa mawazo kama haya Africa, ukoloni mkongwe utajirudia Africa banda ya miaka kadhaa, Africa tumejidharau sana na tumeshajihesabia hatuwezi.
wewe bana sasa ukimnyanganya mtu aridhi ambayo ni njia yake kuu ya uzalishaji si ni sawa na kumfukuza au wewe unaelewaje mambo🤔🤔🤔Mkuu nasisitiza hakuna aliyewanyang'anya wazungu ardhi hii sheria inaenda kuchukua ardhi isiyotumiwa ili apewe anayeweza kuendeleza hata aww mzungu
Na hilo limefafanuliwa vizuri leo na kiongozi wa chama cha wazungu DA mr steinssen ambaye amejitolea kujiunga na delegation itakayoenda marekani kukutana na trump kumuelezea kuhusu sheriq hii ambayo na yeye anaiunga mkono
Trump kakurupuka na kiongozi wa wazungu kamkana na anaenda kumuelezea kuhusu sheria hiiwewe bana sasa ukimnyanganya mtu aridhi ambayo ni njia yake kuu ya uzalishaji si ni sawa na kumfukuza au wewe unaelewaje mambo🤔🤔🤔
Kama wangekuwa hawajafukuzwa kwanini TRUMP amewaalika kama wakimbizi huko USA???
UKWELI MCHUNGU NYIE WATU WEUSI MMEZIDIWA NA MZUNGU UMBALI WA MBINGU NA ARIDHI.SO DONT COMPLAIN ABOUT THAT.Acha kabisa yani tumepumbazwa kabisa yani mtu anaona hawezi kuishi bila ya mzungu hadi kwenye haki yake anaogopa kuongea ili asimuudhi mzungu
Wamesema hawana shida hata zisipopelekwa..fatilia vizuri! Uchumi wa SA uko strong.Hela ndogo walizitaka za nini kama wanajitosheleza? Hayo ni maneno ya mkosaji tu.
TUKIACHA SIASA ILA UKWELI NI KUWA MTU MWEUSI HANA UWEZO WA KUCOVER HILO GAPE WAKIACHIWA HIYO ARIDHI.Trump kakurupuka na kiongozi wa wazungu kamkana na anaenda kumuelezea kuhusu sheria hii