Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

MIMI BWANA HUWA NAFURAHISHWA MNO NAHAYA MAFUNDISHO YENU MAANA HUWA YANANIPA MWANGA FULANI KUHUSU KUJITAMBUA KWETU KAMA WATU WEUSI NA HUWA NAWAFIKISHIA HABARI HIZI JAMAA ZANGU NAO WAPATE KUJITAMBUA ..
ILA SHIDA KUBWA NINAYO PATA NIPALE MNAPOUGUSA UISLAM KUWA NAO NI DINI ZAKUTUNGWA TU NA MAYAHUDI WKATI UISLAM HUO HUO HAUTAKI KABISA KUWASIKIA WAYAHUDI TENA UNATAJA WAZI WAZI KUWA MAYAHUDI WANALAANA YA MUNGU ..NA UKIFUATILIA ZAIDI UNAKUJA KUONA HATA YALE YLIYOWAFIKA WAYAHUDI TOKA KWA HITLER NI MOJA YA LAANA ZA MUNGU NA NIUTABIRI ULIOPO KTK QUR'AN HATA YALE YALIYOWAFIKA PIA KUPITIA FARAO ILIKUWA NILAANA YA MUNGU PIA KWA MUJIBU WA UISLAM..
TENA KTK HISTORIA YA QUR'AN INAONYESHA KUWA MUHAMMAD ALIKUWA ANAITAMBUA NGUVU WALIYONAYO WATU WEUSI NDIO MAANA ALIMTEUA JAMAA MMOJA HVI ANAITWA BILALI KUWA NDIYE KIONGOZI WAKUTOA ADHANA ..HATA PALE WAARABU WALIPOONA DONGE NA KUMFANYIA FITNA HUYU MTU MWEUSI MTOA ADHANA ..MUNGU AKAMTUMA MALAIKA AJE KUMWAMBIA MTUME KUWA HAWASIKII SAUTI YA ADHANA MBINGUNI TENA KWA SBABU BILALI HAADHINI ..KWA HIYO WNATKA BILALI AENDELEE KUKAIMU NAFASI YAKE..MPKA HAPO NADHANI WAONA JINSI MTU MWEUSI ALIVYOKUWA NATHAMANI NA HUYU MTU ALIKUWA NA ASILI YA ETHIOPIA
 

nimejiquote mwnyewe hahaaa
but naimani ujumbe utakuwa umewasili ..
 
hiyo historia wewe inakusaidia nini wakati hata pa kulala shida, dawa shida, mloa taabu.
Haya ndugu, nakuelewa, shida zikizidi, MTU hata huwezi kufikiri tena, tuko pamoja ndugu yangu, sina cha kukubishia, ikiwa kesho yako huijui, mambo ya zamani huko yanisaidia nini? Sawa ndugu basi tujikwamue tu kama tulivyo, tukisha toka shimoni, tuanze kutaftana, alilichimba shimo naniiiii!!!!!??????????
Nimekuelewa ndugu yangu
 
Asante ndugu, alopandikiza mbegu ya ubaguzi wa rangi ni ibilisi, kote duniani ni MTU mweusi baba wa maendeleo, dunia ya zamani taswira ya Mungu alikuwa MTU mweusi, angalia asili ya dini za China na India, miungu yao mikuu ni watu weusi, asante ndugu, pole pole tutafika, chuki ilianza kama miaka 1500 iliyopita...kikubwa hapa MTU mweusi ni ajitambue, na kujikumbuka, kwenye tasnia ya magonjwa ya akili uko mmoja unaitwa amnesia, MTU kupoteza kumbukumbu zake,wengine baada ya kupata ajali, anapoteza kila kitu, anaanza moja, lakini kuna Siku kitu Fulani kikimtokea, wengine alididokewa na Nazi kichwani Basi kumbukumbu zote zina rudi ghafla, Mungu atusaidie tujikumbuke
Na ndivyo hivyo, hata Muhammad alijua dunia hii itabarikiwa mweusi akirudi nyumbani kwake, kufanya ibada zake
 
Muongoza ibada ni MTU mweusi, kuhani ni MTU mweusi, ni fumbo kubwa, siri kuu mno
 
Ni sawa nakukaa kijiweni ukilalamika maisha magumu na kulaumu kwamba Marekani imesitisha misaada, nchi itayumba,tusiwachezee wazungu maana mzungu ni kila kitu,tumekuwa na hizi akili za makalioni muda mrefu sana.
Pamoja na historia hii nzuri ya mtu mweusi bado tunahitaji mapinduzi makubwa ya kifikira.
 

Asante kwa mchango wako
 
Mkuu mi napenda sana unavyoongea kwa facts siyo blaa blaa ila tu ninachokiona kufahamu kinachozungumziwa hapo mpaka uwe na macho matatu, vinginevyo watu hawaelewi.
Hivi mkuu unafahamu kwamba sisi blacks especially Tanzanian tunawahusudu sana wazungu kiasi kwamba huwa nashindwa kufahamu,nimefanyan nao kazi hawa whites they're stupid indeed,mzungu anakuja kutoka ulaya kuja kufanya project huku Africa halafu mzungu huyo huyo hajui kitu chochote ni shithole kama jamaa yao anavyosema hajui kitu hafu wewe unaanza kumpiga darasa inashangaza sana na akifanya jambo hana uhakika mpaka akuulize,is this ok? ukisema no anakuwa mpole.
Nikisikiaga Trump na lile bichwa lake katutusi huwa nacheka tu wala sichukii,yeye ndiye shithole kweli kweli hajui tu.
 
WE ARE THE ORIGINALS
That is an understatement mkukina
We are the original over statement of the gods, the blue print of existence whether be it by creation or evolution, the signature of the universe
Imani zote tembe katika mkufu uleule, lakini ni kidani sasa na kito cha thamani cha katikati ni MTU mweusi
Sasa unafahamu manabii na mitume wote waliongelea ukweli huu mmoja kwa njia tofauti, wazi wazi na kwa mafumbo, ubaguzi ni mbegu ya uharibifu, ile hadithi ya mpanzi......ukiuondoa ubaguzi huu katika jamii ya binadamu unakutana na upendo, binadamu wote ndugu moja, na mweusi kama baba na babu wa kwanza wa vizazi sio MTU mweupe wala huyu mzayuni wa Leo mwongo, rangi ni maua, sisi ni ndugu moja, kwa matunda yao mtawajua waliopandikiza ubaguzi, dunia ya zamani ubaguzi haukuwepo, myahudi wa kweli ni MTU mweusi
Mwenye kumbagua mwenzie ni wa ibilisi, Yesu aliwambia wakijifanya wayahudi kumbe ni sinagogi LA Shetani,nchi takatifu baraka kwa mataifa yote ni bara LA Africa, tazama mataifa yote yamebarikiwa na kila kitu cha bara LA Africa mpaka hivi leo Israeli na propaganda Yale ni fake, bandia!!!! jitambue na amka MTU mweusi sasa, dhambi hii ya ubaguzi itapoondolewa dunia nzima itakombolewa,kinyume cha hapo tutaangamia
 
Tuko pamoja ndugu asante
 
Ukweli akisema mweupe, hata takwimu bingwa unazikataa, na yaonekana wengi ndio wanapenda kuamini utumbo huu, kwamba sisi weusi tulilaaniwa!!!!! HahahaHa
Na wameanzisha na vyombo vyao vya propaganda na taarifa za kupika ili kutupiga changa la macho, vyombo hivi ni kama vile
IMF -ya kwao
WHO-ya kwao
NATO- ya kwao
WFP-ya kwao
CNN
BBC
ukisikia taarifa yoyote kutoka vyanzo hivi unaamini kweli kweli kumbe urongo mtupu.
 
Ni hivyo MC akikupa mike mfagilie, ukimkosoa anakunyang'anya microphone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…