Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

53f23ee496e1b2846088552f8ecef7b8.jpg
 
Lakini makontena yadhahabu wanayo chukua huyaoni,shibe yao njaa yako hujui
Kibaya zaidi hutaki kuikubali hali yako, kufanya tathmini yamapungufu na nguvu yako, na kuchukuwa hatuathabiti zakujikwamua
Mimi ndiye nimekubari hali yangu na kuacha kujipa moyo, kuwa hawa jamaa ni wajanja na wana uwezo kuliko sisi. Sasa baada ya kukubari hilo na kuacha kujipa moyo na sifa za uongo hapo ndipo ninatafakari nifanyeje kwenda nao sawa.
Ukipigana na mtu aliyekuzidi nguvu kutokubari kwamba kakuzidi hakukufanyi ushinde pambano kwanza kubari kuwa jamaa ananizidi nguvu halafu tafta udhaifu wake ulipo
 
Mimi ndiye nimekubari hali yangu na kuacha kujipa moyo, kuwa hawa jamaa ni wajanja na wana uwezo kuliko sisi. Sasa baada ya kukubari hilo na kuacha kujipa moyo na sifa za uongo hapo ndipo ninatafakari nifanyeje kwenda nao sawa.
Ukipigana na mtu aliyekuzidi nguvu kutokubari kwamba kakuzidi hakukufanyi ushinde pambano kwanza kubari kuwa jamaa ananizidi nguvu halafu tafta udhaifu wake ulipo
Asante,mtafuta maisha,hatimaye nimemuekuelewa,, unakubali kwanza kisha unaanza kutafuta jinsi ya kupenya
 
Mimi ndiye nimekubari hali yangu na kuacha kujipa moyo, kuwa hawa jamaa ni wajanja na wana uwezo kuliko sisi. Sasa baada ya kukubari hilo na kuacha kujipa moyo na sifa za uongo hapo ndipo ninatafakari nifanyeje kwenda nao sawa.
Ukipigana na mtu aliyekuzidi nguvu kutokubari kwamba kakuzidi hakukufanyi ushinde pambano kwanza kubari kuwa jamaa ananizidi nguvu halafu tafta udhaifu wake ulipo
Swali sasa udhaifu wao hawa uko wapi, na tunafanya nini collectively as a nation and continent?
 
Mkuu a
Tatizo wewe ni mbishi na hautaki kujua,nani amekwambia hawakuvuka nje kwenda kusaka makazi sehemu nyingine?soma kaka,soma historia tena si hyo ya kina Nyambari Nyangwine na Major Events.Hyo Spain unavyiona hapo ishatawaliwa na weusi kwa miaka mingi tu,Columbus alivyofika Marekani alikuta tayari kuna weusi walishafika kitambo,Australia yenyewe waingereza waliikuta na weusi ndio nchi yao,visiwa vya Papua New Guinea wapo weusi.

Nikuulize swali,hivi kwanini kwenye kila lugha ya asili kwa makabila yote kuna maneno ambayo ukiyatafsiri maana yake ni "soma" na "andika", sasa haya maneno walikua wanayatumia wapi kama shule zililetwa na hao wazungu wako?

Daah katika kuhakikisha white supremacy inatawala na African inferiority inajikita vizazi mpaka vizazi wazungu wamefanikiwa sana.
Mkuu achana nao hao. Hao ndio wanaotaka kwenda ulaya kupitia Libya. Na huwambii kitu wakakuelewa mpaka yatakapowakuta. Na wengine watazidi jipanga kwenda wakiamini waarabu wastaarabu sana
 
Mtu anaweza akapora Mali yako, wanawe akawasomesha kwa Mali yako, na wanao wakawa vijakazi wa watoto wa huyo mporaji. Je mporaji alikuwa na akili kuliko WeWe?
Asante Mwanitu, kwa watu wengine Mali ni akili hIjalishi zimepatikana vipi. Iba,uwa nk. ,cha msingi umepata basi una akili. Bila shaka ni upeo hafifu sana wa kufikiri
 
Cheddar Man: DNA shows early Briton had dark skin
By Paul RinconScience editor, BBC News website
p05xbsb2.jpg


Media captionDNA shows early Brit had dark skin
A cutting-edge scientific analysis shows that a Briton from 10,000 years ago had dark brown skin and blue eyes.

Researchers from London's Natural History Museum extracted DNA from Cheddar Man, Britain's oldest complete skeleton, which was discovered in 1903.

University College London researchers then used the subsequent genome analysis for a facial reconstruction.

It underlines the fact that the lighter skin characteristic of modern Europeans is a relatively recent phenomenon.

No prehistoric Briton of this age had previously had their genome analysed.

As such, the analysis provides valuable new insights into the first people to resettle Britain after the last Ice Age.

The analysis of Cheddar Man's genome - the "blueprint" for a human, contained in the nuclei of our cells - will be published in a journal, and will also feature in the upcoming Channel 4 documentary The First Brit, Secrets Of The 10,000-year-old Man.

'Cheddar George' tweet on early Briton

Cheddar Man's remains had been unearthed 115 years ago in Gough's Cave, located in Somerset's Cheddar Gorge. Subsequent examination has shown that the man was short by today's standards - about 5ft 5in - and probably died in his early 20s.

Prof Chris Stringer, the museum's research leader in human origins, said: "I've been studying the skeleton of Cheddar Man for about 40 years

"So to come face-to-face with what this guy could have looked like - and that striking combination of the hair, the face, the eye colour and that dark skin: something a few years ago we couldn't have imagined and yet that's what the scientific data show."

_99914498_mediaitem99908647.jpg

Image captionA replica of Cheddar Man's skeleton now lies in Gough's Cave
Fractures on the surface of the skull suggest he may even have met his demise in a violent manner. It's not known how he came to lie in the cave, but it's possible he was placed there by others in his tribe.

The Natural History Museum researchers extracted the DNA from part of the skull near the ear known as the petrous. At first, project scientists Prof Ian Barnes and Dr Selina Brace weren't sure if they'd get any DNA at all from the remains.

But they were in luck: not only was DNA preserved, but Cheddar Man has since yielded the highest coverage (a measure of the sequencing accuracy) for a genome from this period of European prehistory - known as the Mesolithic, or Middle Stone Age.

They teamed up with researchers at University College London (UCL) to analyse the results, including gene variants associated with hair, eye and skin colour.

Extra mature Cheddar
They found the Stone Age Briton had dark hair - with a small probability that it was curlier than average - blue eyes and skin that was probably dark brown or black in tone.

This combination might appear striking to us today, but it was a common appearance in western Europe during this period.

Steven Clarke, director of the Channel Four documentary, said: "I think we all know we live in times where we are unusually preoccupied with skin pigmentation."

Prof Mark Thomas, a geneticist from UCL, said: "It becomes a part of our understanding, I think that would be a much, much better thing. I think it would be good if people lodge it in their heads, and it becomes a little part of their knowledge."

Unsurprisingly, the findings have generated lots of interest on social media.

Skip Twitter post by @RantyHighwayman
[iframe id="twitter-widget-0" scrolling="no" frameborder="0" allowtransparency="true" allowfullscreen="true" class="twitter-tweet twitter-tweet-rendered" data-tweet-id="961141595889422338" title="Twitter Tweet" style="border-width: initial; border-style: none; color: inherit; font-style: inherit; font-variant: inherit; font-stretch: inherit; font-family: inherit; font-weight: initial; letter-spacing: inherit; line-height: inherit; margin: 10px 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline; background-image: url("data:image/svg+xml;utf8,[/iframe]
Report
End of Twitter post by @RantyHighwayman

Cheddar Man's genome reveals he was closely related to other Mesolithic individuals - so-called Western Hunter-Gatherers - who have been analysed from Spain, Luxembourg and Hungary.

Dutch artists Alfons and Adrie Kennis, specialists in palaeontological model-making, took the genetic findings and combined them with physical measurements from scans of the skull. The result was a strikingly lifelike reconstruction of a face from our distant past.

Pale skin probably arrived in Britain with a migration of people from the Middle East around 6,000 years ago. This population had pale skin and brown eyes and absorbed populations like the ones Cheddar Man belonged to.

_99915701_mediaitem99915700.jpg

Image captionProf Chris Stringer had studied Cheddar Man for 40 years - but was struck by the Kennis brothers' reconstruction
No-one's entirely sure why pale skin evolved in these farmers, but their cereal-based diet was probably deficient in Vitamin D. This would have required agriculturalists to absorb this essential nutrient from sunlight through their skin.

"There may be other factors that are causing lower skin pigmentation over time in the last 10,000 years. But that's the big explanation that most scientists turn to," said Prof Thomas.

Boom and bust
The genomic results also suggest Cheddar Man could not drink milk as an adult. This ability only spread much later, after the onset of the Bronze Age.

Present-day Europeans owe on average 10% of their ancestry to Mesolithic hunters like Cheddar Man.

Britain has been something of a boom-and-bust story for humans over the last million-or-so years. Modern humans were here as early as 40,000 years ago, but a period of extreme cold known as the Last Glacial Maximum drove them out some 10,000 years later.

There's evidence from Gough's Cave that hunter-gatherers ventured back around 15,000 years ago, establishing a temporary presence when the climate briefly improved. However, they were soon sent packing by another cold snap. Cut marks on the bones suggest these people cannibalised their dead - perhaps as part of ritual practices.

_99914502_mediaitem99914501.jpg
Image copyrightCHANNEL 4
Image captionThe actual skull of Cheddar Man is kept in the Natural History Museum, seen being handled here by Ian Barnes
Britain was once again settled 11,000 years ago; and has been inhabited ever since. Cheddar Man was part of this wave of migrants, who walked across a landmass called Doggerland that, in those days, connected Britain to mainland Europe. This makes him the oldest known Briton with a direct connection to people living here today.

This is not the first attempt to analyse DNA from the Cheddar Man. In the late 1990s, Oxford University geneticist Brian Sykes sequenced mitochondrial DNA from one of Cheddar Man's molars.

Mitochondrial DNA comes from the biological "batteries" within our cells and is passed down exclusively from a mother to her children.

Prof Sykes compared the ancient genetic information with DNA from 20 living residents of Cheddar village and found two matches - including history teacher Adrian Targett, who became closely connected with the discovery. The result is consistent with the approximately 10% of Europeans who share the same mitochondrial DNA type.
Hiyo mifupa tu, na bado, mpaka nyama tutaitafuna
 
And by the way hakuna definition moja ya maendeleo. Kuna nchi inapima maendeleo ya watu ka jinsi walivyo na furaha...
Hata umuulize mtu yeyote anajua kuwa Afrika haina maendeleo kama mabara mengine, sihitaji hata kuwa profesa kulijua hili, hivyo narudia badala ya kuhangaika na historia za kuokoteleza za uongo na kweli za kujaribu kuonyesha tulikuwa juu wakati hakuna kitu, hebu tuhimizane tutoke kwenye hili shimo la ufukara, magonjwa, vita na ujinga tuwe kama wenzetu.
Huwezi Toka kwenye hilo shimo kama hujitambui. Historia inakuonyesha uwezo wako ili uweze jiamini kuwa kumbe unaweza.
 
Mojawapo ya tatizo letu waafrika ni kutoku wajibishana. Viongozi huweza fanya lolote bila wasiwasi. Mchina akikamatwa na rushwa ya kiwango flani adhabu yake ni kifo, na inatekelezwa kweli. Katika hali hiyo mtu utaingia mikataba ya kifisadi? Kwetu unaachiwa ufaidi Matunda ya dhulma, bila kujali athari kwa Jamii. Hosp zinakosa dawa watu wanakufa, mwizi anapeta tuu.
 
Huwezi Toka kwenye hilo shimo kama hujitambui. Historia inakuonyesha uwezo wako ili uweze jiamini kuwa kumbe unaweza.
Hiyo historia gani ambayo haipo ni ya kuokoteleza... hata hizo jamii za wetu weusi zilizoko Australia, India bado wanaishi maisha ya zama za mawe.
Kuna kisiwa kiko kwenye bahari ya Hindi kiko kwenye miliki ya nchi ya India inaishi jamii ya watu weusi na hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia kwa maana serikali ya India imeweka zuio kutokana na sababu kwamba wanashambulia kila mgeni anayeingia japo mara kadhaa watu kadhaa eamejaribu ku interact nao lakini imeshindikana.
Wenyeji wa kisiwa hicho mpaka leo 2018 wanaishi kwa kukusanya matunda, hawavai nguo wako zama za mawe na katika uchunguzi ni kama hata hawatumii moto.
Nenda Australia kaangalie maisha ya hao wenyeji wa kiafrika bado wanaishi maisha ya zama za ajabu sana..
Leo hii mnatoka huko mnadai Mwafrika alikuwa juu kiuwezo kimaendeleo kuliko Mzungu ama kweli ni kituko maana jamii zote zilizowahi kuwa juu historia yake haijawahi kufutika hata kwa hira. Wahindi historia yao ipo, wachina ipo, Wairaq ipo hata falme na nchi za kiafrika zilizowahi kujitutumua kama Egypt, Ethiopia na enzi Mansa Mousa historia ipo.
Tuache kujipa moyo tupambane tu kama wenzetu wa Asia walivyoweza kupambana na kufika walipo siyo kulialia
 
Hiyo historia gani ambayo haipo ni ya kuokoteleza... hata hizo jamii za wetu weusi zilizoko Australia, India bado wanaishi maisha ya zama za mawe.
Kuna kisiwa kiko kwenye bahari ya Hindi kiko kwenye miliki ya nchi ya India inaishi jamii ya watu weusi na hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia kwa maana serikali ya India imeweka zuio kutokana na sababu kwamba wanashambulia kila mgeni anayeingia japo mara kadhaa watu kadhaa eamejaribu ku interact nao lakini imeshindikana.
Wenyeji wa kisiwa hicho mpaka leo 2018 wanaishi kwa kukusanya matunda, hawavai nguo wako zama za mawe na katika uchunguzi ni kama hata hawatumii moto.
Nenda Australia kaangalie maisha ya hao wenyeji wa kiafrika bado wanaishi maisha ya zama za ajabu sana..
Leo hii mnatoka huko mnadai Mwafrika alikuwa juu kiuwezo kimaendeleo kuliko Mzungu ama kweli ni kituko maana jamii zote zilizowahi kuwa juu historia yake haijawahi kufutika hata kwa hira. Wahindi historia yao ipo, wachina ipo, Wairaq ipo hata falme na nchi za kiafrika zilizowahi kujitutumua kama Egypt, Ethiopia na enzi Mansa Mousa historia ipo.
Tuache kujipa moyo tupambane tu kama wenzetu wa Asia walivyoweza kupambana na kufika walipo siyo kulialia
Kumbe unatambua Egypt ya kale ilikuwa ya weusi. Egypt ndio chanzo cha maendeleo yote duniani. Kumbe Mkuu una macho, ila hutaki kuona Wala kusikia
 
Kumbe unatambua Egypt ya kale ilikuwa ya weusi. Egypt ndio chanzo cha maendeleo yote duniani. Kumbe Mkuu una macho, ila hutaki kuona Wala kusikia
Nielezee historia inayosema wa Egypt walifika Ulaya wakatawala huko?
Ukisoma historia utaona walikuwa na interaction na mashariki ya kati.
Kuna mtu kaongelea kuhusu chuo kikuu cha kwanza kuwa Afrika huko Mali. Hizi zama Afrika ya Kaskazini ilikuwa tayari na mahusiano na waarabu na hata tamaduni zao zilikuwa za waarabu mpaka leo. Uislamu ulikuwa umetawala tayari Afrika ya Kazini mwa jangwa la Sahara hata hao akina Mousa Musa walikuwa Waislam hata hiyo Mali empire hivyo hivyo na yaliyokuwa yakifundishwa pale ni elimu waliyopata toka kwa Waarabu na siyo Mwafrika.

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Hiyo historia gani ambayo haipo ni ya kuokoteleza... hata hizo jamii za wetu weusi zilizoko Australia, India bado wanaishi maisha ya zama za mawe.
Kuna kisiwa kiko kwenye bahari ya Hindi kiko kwenye miliki ya nchi ya India inaishi jamii ya watu weusi na hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia kwa maana serikali ya India imeweka zuio kutokana na sababu kwamba wanashambulia kila mgeni anayeingia japo mara kadhaa watu kadhaa eamejaribu ku interact nao lakini imeshindikana.
Wenyeji wa kisiwa hicho mpaka leo 2018 wanaishi kwa kukusanya matunda, hawavai nguo wako zama za mawe na katika uchunguzi ni kama hata hawatumii moto.
Nenda Australia kaangalie maisha ya hao wenyeji wa kiafrika bado wanaishi maisha ya zama za ajabu sana..
Leo hii mnatoka huko mnadai Mwafrika alikuwa juu kiuwezo kimaendeleo kuliko Mzungu ama kweli ni kituko maana jamii zote zilizowahi kuwa juu historia yake haijawahi kufutika hata kwa hira. Wahindi historia yao ipo, wachina ipo, Wairaq ipo hata falme na nchi za kiafrika zilizowahi kujitutumua kama Egypt, Ethiopia na enzi Mansa Mousa historia ipo.
Tuache kujipa moyo tupambane tu kama wenzetu wa Asia walivyoweza kupambana na kufika walipo siyo kulialia
Na kwa akili yako unaamini kwama ni makosa kwao kuwa hivyo!!!!!!???
Kama ambavyo unaamini wamasai lazima wavuliwe rubega wawe Kama wewe mvaa suti,lakini hujui wahindi asili yao Ni watu weusi, na mmoja was miungu yao mikuu Shiva ji ni Mungu mweusi kabisa
Huijui maana ya maendeleo ndugu
Science na technology Ni kipengele tu,viko 72
Mtafuta maisha wewe na wenzio mnakata ushahidi was kisayansi, badala yake mnaamini weusi tunalaana, na jwahivyo mnamsubiri Myahudi ashuke kutoka mbiguni, Kisha akupelekeni huko mbiguni
 
Na kwa akili yako unaamini kwama ni makosa kwao kuwa hivyo!!!!!!???
Kama ambavyo unaamini wamasai lazima wavuliwe rubega wawe Kama wewe mvaa suti,lakini hujui wahindi asili yao Ni watu weusi, na mmoja was miungu yao mikuu Shiva ji ni Mungu mweusi kabisa
Huijui maana ya maendeleo ndugu
Science na technology Ni kipengele tu,viko s
Hata wamasai wenyewe wameadapt mema ng'ombe wanatibiwa kwa dawa, wanatumia simu.
Haiwezekani miaka yote uishi maisha ya zama za mawe halafu useme una akili... akili inabidi uitumie kurahisisha maisha kama mpaka leo unatembea km 10 kufuata maji wakati mwenzako anafungua bomba yanatoka na kumwagika wakati chanzo chake kiko km 70 away kati yenu nani ana akili?
kama mpaka leo ukitaka kupeleka ujumbe kwa mtu unamtuma mtu atembee km 50 kufikisha ujumbe wakati mwenzako in just a second amekwisha ufikisha across atlantic ocean nani mwenye akili na maendeleo hapo?
Tuache kujipa moyo hakuna kitu kinachodhihirisha maendeleo kama science na technology kwanza ndiyo ina determine level ya civilization.

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Hata wamasai wenyewe wameadapt mema ng'ombe wanatibiwa kwa dawa, wanatumia simu.
Haiwezekani miaka yote uishi maisha ya zama za mawe halafu useme una akili...

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Mkuu unamaana We We una akili sana kuliko mmasai aliyevaa lubega au Jamii ya wa san walioko Kalahari au gypsies walioko ulaya. Je unafahamu nguvu ya marekani ni multiculturalism na sio mzungu pekee? Wengine tumesoma nao hao watu, hawana cha kutisha darasani wala practical application. Kinachowasaidia ni mfumo
 
Mkuu unamaana We We una akili sana kuliko mmasai aliyevaa lubega au Jamii ya wa san walioko Kalahari au gypsies walioko ulaya. Je unafahamu nguvu ya marekani ni multiculturalism na sio mzungu pekee? Wengine tumesoma nao hao watu, hawana cha kutisha darasani wala practical application. Kinachowasaidia ni mfumo
Kwanini sisi tumeshindwa tengeneza mifumo imara mnayodai inawasaidia?
Jibu jepesi ni kwakuwa hatuna maarifa.
Kama mazingira unayoishi yanakutawala umeshindwa kuyatawala jibu ni kwamba yes ambaye ameweza kutawala mazingira ana akili zaidi.
 
Mkuu unamaana We We una akili sana kuliko mmasai aliyevaa lubega au Jamii ya wa san walioko Kalahari au gypsies walioko ulaya. Je unafahamu nguvu ya marekani ni multiculturalism na sio mzungu pekee? Wengine tumesoma nao hao watu, hawana cha kutisha darasani wala practical application. Kinachowasaidia ni mfumo
Asante ndugu, nimekaa marekani , Seattle miaka saba, moto wa mtafutamaisha, ndio anguko LA mweusi, yani kujidharau
 
Back
Top Bottom