Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Kunguru akikutana na kipanga wanafurahi pamoja
Nyie endeleeni kuamini historia fake, na tatizo kubwa la elimu yetu ni ya kukariri bila kutafakari, kuhoji na kudadisi.

1. Ile nguvu ya mtu mweusi aliyokuwa nayo ilienda wapi na kwa kwanini ilipotea ikiwa alikuwa na nguvu kuliko mweupe?

2. Na huyo mtu mweusi aliyekuwa ametapakaa huko Asia na Ulaya alipotea kwa njia gani?

3. Na huyo mtu mweusi aliyekuwa mstaarabu ilikuwaje huo ustaarabu ukapotea hadi kuwa jamii isiyo na ustaarabu wowote? Mila nyingi za kishenzi zilikuwa kwa mtu mweusi, leo hii mtu mweusi anaamini kumuua binadamu mwenye ulemavu wa ngozi ni baraka ya utajiri

4. Kwanini mtu mweusi kutoka kuwa na nguvu hadi kuwa mtu mnyonge na dhaifu kuliko mweupe?
 
Nyie endeleeni kuamini historia fake, na tatizo kubwa la elimu yetu ni ya kukariri bila kutafakari, kuhoji na kudadisi.

1. Ile nguvu ya mtu mweusi aliyokuwa nayo ilienda wapi na kwa kwanini ilipotea ikiwa alikuwa na nguvu kuliko mweupe?

2. Na huyo mtu mweusi aliyekuwa ametapakaa huko Asia na Ulaya alipotea kwa njia gani?

3. Na huyo mtu mweusi aliyekuwa mstaarabu ilikuwaje huo ustaarabu ukapotea hadi kuwa jamii isiyo na ustaarabu wowote? Mila nyingi za kishenzi zilikuwa kwa mtu mweusi, leo hii mtu mweusi anaamini kumuua binadamu mwenye ulemavu wa ngozi ni baraka ya utajiri

4. Kwanini mtu mweusi kutoka kuwa na nguvu hadi kuwa mtu mnyonge na dhaifu kuliko mweupe?
Mkuu hao watu weusi wanaozungumziwa hapa walishakufa miaka 5000 huko imeshapita na kila kitu chao kimeshakufa hakuna tena kilichobakia.
Sawa walikuwa wastaarabu wakaenda huko kwa wazungu wakawafundisha ustaarabu kisha muda wao wa kuishi duniani ukawa umefika hivyo wakafa hivi sasa WAMEREST IN PEACE.
 
40eb2255dfc28e8036ef76f042ee9f24.jpg
[/QUO
TE


2. Na huyo mtu mweusi aliyekuwa ametapakaa huko Asia na Ulaya alipotea kwa njia gani?
 
3. Na huyo mtu mweusi aliyekuwa mstaarabu ilikuwaje huo ustaarabu ukapotea hadi kuwa jamii isiyo na ustaarabu wowote? Mila nyingi za kishenzi zilikuwa kwa mtu mweusi, leo hii mtu mweusi anaamini kumuua binadamu mwenye ulemavu wa ngozi ni baraka ya utajiri
Ustaarabu wetu haujapotea wala sisi, kila wewe mvivu wa kutazama, kuhusu ushenzi weupe no washenzi mno huwajui, hebu tizama mikanda ya ngono, hebu kumbuka biashara ya utumwa, gema we ni nouma, weupe ni waovu mno
 
inakusaidia nino hiyo budstani kuwa Afrika wakati mlo wako ni shida.Tupambane na hali zetu ili tusonge mbele. puuzeni huo ujinga, eti tulikuwa fiti!!!!
Wala mi sijaandika popote kwamba hiyo bustani inanisaidia kitu, hiyo ni historia kama ambavyo masomo ya historia yanavyofundishwa mashuleni, ni katika kujua tulikotoka tu, na sio kwamba inaniletea mlo, kwanza hakuna nilipoandika maneno hayo, sijui umeyatoa wapi tu, nimeandika A unajibu Z! Mi mlo napata kama kawaida! Hebu jibu kulingana na kilichoandikwa, otherwise rudi shule ukasome!

Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
 
Wala mi sijaandika popote kwamba hiyo bustani inanisaidia kitu, hiyo ni historia kama ambavyo masomo ya historia yanavyofundishwa mashuleni, ni katika kujua tulikotoka tu, na sio kwamba inaniletea mlo, kwanza hakuna nilipoandika maneno hayo, sijui umeyatoa wapi tu, nimeandika A unajibu Z! Mi mlo napata kama kawaida! Hebu jibu kulingana na kilichoandikwa, otherwise rudi shule ukasome!

Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
sina sababu ya kurudi shule kusoma historia ambazo hazina mashiko eti Bustani ya eden ipo Afrika! Wenzetu wanasoma Sayansi na Ufundi, sisi tumekazana kusoma historia. Tuwekeze nguvu zetu katika kazi na kusomesha watoto sayansi na Ufundi. Kinyume na hapo tutabaki kulalamika kuwa tumehujumiwa wakati shetani wetu ni sisi wenyewe.
 
sina sababu ya kurudi shule kusoma historia ambazo hazina mashiko eti Bustani ya eden ipo Afrika! Wenzetu wanasoma Sayansi na Ufundi, sisi tumekazana kusoma historia. Tuwekeze nguvu zetu katika kazi na kusomesha watoto sayansi na Ufundi. Kinyume na hapo tutabaki kulalamika kuwa tumehujumiwa wakati shetani wetu ni sisi wenyewe.
Sijasema urudi ukasome historia, kama ilikupita ndio basi tena. Bali rudi shule maybe utaelewa kung'amua mambo, hasa maandushi, maana yale uliyoyajibu wala mimi sikuyaandika, umejitungia maneno sijui umeyatoa wapi! Jibu kulingana na kilichoandikwa, ndio maana nikasema rudi shule, uelewa wako ni mdogo! Ndio nyie mnafungwa kwa kutoelewa unachoulizwa na sio kwamba mmetenda kosa!

Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
 
Ukishindwa kwenye lolote lile ina maana uwezo wako upo chini ya aliyekushinda, vinginevyo sisi ndo ilibidi tupeleke dini, elimu, siasa na mfumo mzima wa elimu kwao. Sisi ndo ilibidi tukawachukue wao kama makoloni
Unaweza ukapiga, baadae na we meenyewe ukadundwa, tofauti Ni kwamba sisi hatuna ustaarabu wa kinyama, ustaarabu wetu ulikuwa wa amani, albino mkatili amekuja baadae Sana, pia inategemea by ushindi una maanisha Nini...soma uzi wote ndugu mengine tushajibu
 
Tunalogana,tulikuwa uchi mpaka leo wazungu wanakuja kumuona mtu anaitwa Masai kisa kaambiwa ni mdogo wake zinja thropus.mpaka leo wahadzabe unawatengenezea shule wanaikimbia na kuhama,Tumeachiwa mikorosho na wakoloni ikazaa wakati wa kuuza tukaongeza na mawe ili kilo zipande,hata vyoo ni kwa hisani ya watu wa Marekani.Tunatenga viumbe wa Mungu na kuwaua (albino) kisa utajiri akili za uvivu hizi leo useme tulikuwa wastaarabu tunakunya maporini.SISI TUNA UZEZETA WA ASILI HATA ELIMU YETU IMESHINDWA KUUONDOA WE ARE SHITHOLES IN DEED
 
Unaifahamu vizuri kingdom ya mali enzi za mansa mussa? Na chuo kikuu cha kwanza inasadikika kilikuwa Timbuktu. Ndiyo maana hadi leo france anapiganisha makombola na kumaliza kabisa shahidi hizi za kihistoria.
Hiko chuo kimesaidia nini mpaka leo? Kama msomi anamaliza chuo kikuu hajui kujitamburisha
 
hoja ya msingi siyo kwamba tulikuwa sokwe ama la. hoja ni kwamba wenzetu wametutangulia kustaarabika na kupata maendeleo. Sisi tupambane na hali zetu ili na sisi tufike huko walikofika wenzetu. lakini siyo kudanganyana kila siku kuwa ooh! mtu mweusi ndo alikuwa wa kwanza kupata maendeleo na ustaarabu wakati hata asiyejua kusoma picha anaiona kuwa sisi tumechelewa kustaarabika na kupata maendeleo. SISI BADO HATA KUNYA TU TUNAKUNYA KWENYE MITO NA KATIKA MIFUKO, WATOTO HATUWAPELEKI SHULE, KAZI HATUTAKI KILA SIKU KULALAMIKA TU. TUPAMBANE NA HALI ZETU, WENZETU WAZUNGU WALISHATANGULIA. WACHINA TULIOKUWA NAO LEVEL MOJA MIAKA YA 1960'S WAMETUACHA TENA. MALAYSIA, SINGAPORE, TAIWAN NA WENGINEO WAMETUACHA TENA. TUACHE KUTAFUTA HURUMA ZA DUNIA, TUKUBALI KUWA SISI NDO TUNAZINDUKA TANGU DUNIA IUMBWE. TUPAMBANE NA HALI ZETU.
SISI AKILI NDOGO NA NDIYO MAANA SISI WEZI IN NATURE TUNAWAZA KUAJIRIWA BANDARI,TRA ILI TUIBE
 
Back
Top Bottom