Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Mstari unaomtenganisha mtu mweusi na nyani ni mwembamba sana. Wenyewe hatujikubali,hatuwezi andika maneno matano bila kuweka huko kiingereza. Mleta mada mwenyewe ana jina la mzungu. Sisi ni manyani yaliyochangamka.
Sawa....

Tunaweza kutumia KIZUNGU kwa sababu ya WIN WIN SITUATION ...

Wako wenye majina ya KIMILA pasi na kuwepo na ya weupe na ndio WAPUMBAVU ,WASALITI NA WATUMWA WALIOTOPEA....[emoji1787][emoji1787]
 
Myahudi anathamini chake...

Mchina anathamini chake...

Mkorea anathamini chake....

Masalakulangwa anaamini UKOMBOZI WAKE utatoka UARABU NI NA ULAYA....shame[emoji26][emoji26]
 
Sawa....

Tunaweza kutumia KIZUNGU kwa sababu ya WIN WIN SITUATION ...

Wako wenye majina ya KIMILA pasi na kuwepo na ya weupe na ndio WAPUMBAVU ,WASALITI NA WATUMWA WALIOTOPEA....[emoji1787][emoji1787]
Lugha ya kiswahili inajitosheleza,kutumia maneno ya lugha nyingine katikati ya sentensi ya kiswahili ni uzwazwa. Tuheshimu vya kwetu. Tujipe heshima sisi wenyewe,tusisubiri kupewa na wengine. Uliwahi kuona muingereza akichanganya kiswahili kwenye maandishi yake? Kuna waingereza wangapi wanashabikia timu zetu huku Tz?
 
Ni sawa ila hakuna uzuri utaokosa kila sehemu kutokana na kitu kuwa kipya kwako .
 
We are
Shithole
 
What I know for sure, uwezo wetu wa kiakili ni mdogo kuliko wahindi, waarabu na wazungu.

Sijui hii imesababishwa na nini. Tuulaumu ukoloni huenda ulituharibu akili zetu
 
To day I declare that, Being black is an Evil
People, or a people shouldn't suffer unless they are guilty of something.

Some Africans (the majority) suffers because of ignorance. You know; ignorance ain't innocent! Ignorance is a big mistake while stupidity is a full blown sin.

All suffering is for the purpose of learning, If you claim someone is suffering, don't end up pitying him/ her too much. Tell it to take responsibility and learn from it. Even heaven is not for the stupid.

Kiswahili:
Watu hawapaswi kuteseka pasi na kuwa wamefanya kosa lolote.

Baadhi ya waafrika (walio wengi) huteseka kwa sababu ya kutokujua/ujinga. Unajua nn bro; ujinga sio kutokuwa na hatia, ujinga ni makosa makubwa na upumbavu ndio dhambi kabisa.

Kuteseka kote ni kwa kusudi watu wajifunze. Hivyo unapokiri kwamba mtu fulani anateseka, usiishie kumuonea huruma saaana. Mwambie pia achukue jukumu la kujifunza kwa hicho kitu. Maana hata mbinguni hawawezi kaa wapumbavu.
 
Na ndio watu eti mnakaa nyuma ya mwenge na kuukimbiza ukiuliza maana yake nini hakuna anayejua...!!

Kaburu P.W. Bother aliwahi kusema "fanya makosa yoooote utasamehewa lkn kosa ambalo ukifanya hutasamehewa kamwe ni kumpa mtu mweusi haki ya kutawala," mwisho wa kumnukuu.

Baada ya nchi zote za kiafrika kuwa huru sasa tunashuhudia unabii wa kaburu P.W. Bother, ona mwenyewe waafrika wanavyokufa baharini wakikimbilia Ulaya. Afrika bure kabisa.
 
watu weusi matajiri ni wengi sana, sema we na ukoo ndio mtakuwa maskini milele
 
Unamjua Mansa Kankan Mussa ?

Kamtafute alafu urudi tuendelee kuongea...;

By the way Mmasai kule Kijijini ambaye ana kila kitu (Chakula, Malazi na Mavazi) pamoja na kuvinjari na kuenjoy chochote anachotaka ni tajiri au masini ? Je wale red indians ambao walikuwa wanaishi sustainably (wana-fish what they want, hunt what they need na enjoy from dusk till dawn) je wao walikuwa matajiri au masikini
 
Km umekata tamaa ya masiha qwe jinyonge tu jiubge na mtetezi wa wanyonge, Nigeria ni pure blacks na ni nchi ya kwanza kwa uchumi Afrika, tajiri wa kwanza Afrika ni pure black Dangote, nchi km Botswana ni blacks na wana uchumi mzuri sana. We una inferiority complex na kweli kwa akili hiyo hutatoboa wakati wenzio wanapambana. Marekani tangia ipate uhuru ina miaka 247, sisi tuna miaka 60, kwa akil yako unafikiri miaka mingine 200 ijayo Afrika itakuwa wapi. Ndugu tuliza boli kila jambo lina pakuanzia, hayo maendeleo yameanza Ulaya yatafika hata Afrika. Hata Ulaya kulikuwa kuna rushwa sana, hayo mambo hayataisha, muhimu tupambane tuiunge serikali yetu mkono kwakufanya kazi kwa bidii na kulipa kodi stahiki.
 
we pambana na mambo yako, hayo mambo yako juu sana ya uwezo wako.
 
Mstari unaomtenganisha mtu mweusi na nyani ni mwembamba sana. Wenyewe hatujikubali,hatuwezi andika maneno matano bila kuweka huko kiingereza. Mleta mada mwenyewe ana jina la mzungu. Sisi ni manyani yaliyochangamka.
Actually tofauti ya nyani na watu wote kw genes ni Km 0. Something percent; pia nyani kw physical appearance is more closer to white people than black people coz ukinyoa nywele zile ni weupe sio weusi; na white people are more hairy than blacks.
 
Ni ukweli mtupu kaka.

Hii rangi imekuwa kama laana.

Ni bara lenye rasilimali nyingi kuliko yote duniani.

Lakini ndilo bara masikini na omba omba kuliko yote duniani.

Inauma sana.

Yaani natamani mapinduzi ya burkina faso, mali na niger yange kuja tu kwetu.

Tunahitaji viongozi wenye vision kama ya kina marehemu Gaddaffi na Sankara enzi zao, japo ni ngumu kupambana na ubepari lakini ni bora ufe tu kuliko kuwa kwenye hali hii tuliyonayo leo
 
Mstari unaomtenganisha mtu mweusi na nyani ni mwembamba sana. Wenyewe hatujikubali,hatuwezi andika maneno matano bila kuweka huko kiingereza. Mleta mada mwenyewe ana jina la mzungu. Sisi ni manyani yaliyochangamka.
Lugha si tatizo, tatizo ni akili zetu.

Na mimi nimejitaka jina la mtu ambaye naamini sana katika mawazo yake.

Putin anapambana na mabeberu kwa ajili ya kuleta balance of power duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…