Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Lugha ya kiswahili inajitosheleza,kutumia maneno ya lugha nyingine katikati ya sentensi ya kiswahili ni uzwazwa. Tuheshimu vya kwetu. Tujipe heshima sisi wenyewe,tusisubiri kupewa na wengine. Uliwahi kuona muingereza akichanganya kiswahili kwenye maandishi yake? Kuna waingereza wangapi wanashabikia timu zetu huku Tz?
Vitu vingine inabidi tu uelewe kuwa ni athari za ukoloni.

Makoloni mengi yalikuwa yanarithi lugha za wakoloni wao kuwa kama lugha za taifa, afadhali sisi hata nyerere alikataa.

Kule west africa ni kifaransa kitupu wanaongea
 
Km umekata tamaa ya masiha qwe jinyonge tu jiubge na mtetezi wa wanyonge, Nigeria ni pure blacks na ni nchi ya kwanza kwa uchumi Afrika, tajiri wa kwanza Afrika ni pure black Dangote, nchi km Botswana ni blacks na wana uchumi mzuri sana. We una inferiority complex na kweli kwa akili hiyo hutatoboa wakati wenzio wanapambana. Marekani tangia ipate uhuru ina miaka 247, sisi tuna miaka 60, kwa akil yako unafikiri miaka mingine 200 ijayo Afrika itakuwa wapi. Ndugu tuliza boli kila jambo lina pakuanzia, hayo maendeleo yameanza Ulaya yatafika hata Afrika. Hata Ulaya kulikuwa kuna rushwa sana, hayo mambo hayataisha, muhimu tupambane tuiunge serikali yetu mkono kwakufanya kazi kwa bidii na kulipa kodi stahiki.
Vladmir Putini naomba umpige spana huyu Zelensky kajileta
 
Sana.

Kwa kiasi kikubwa umaskini na uduni wetu unasababishwa na sisi wenyewe wala siyo wazungu.

Hasa uongozi mbovu (hili ndiyo tatizo cronic) na pili sisi waafrica hatujafunzwa kujikubali na kujipenda wenyewe, kuyapenda mataifa yetu, kwa kifupi uzalendo hatuja funzwa
Miafrika hovyooo!

Mijitu inaiba trillions halafu wenzao hawana hata ule uwezo wa kununua hata Aspirin. Who does that? Hata monkeys huwa wanajaliana na kusaidiana kuliko Mwafrika kwa Mwafrika.

IMG_20230729_084104_495.jpg
 
People, or a people shouldn't suffer unless they are guilty of something.

Some Africans (the majority) suffers because of ignorance. You know; ignorance ain't innocent! Ignorance is a big mistake while stupidity is a full blown sin.

All suffering is for the purpose of learning, If you claim someone is suffering, don't end up pitying him/ her too much. Tell it to take responsibility and learn from it. Even heaven is not for the stupid.

Kiswahili:
Watu hawapaswi kuteseka pasi na kuwa wamefanya kosa lolote.

Baadhi ya waafrika (walio wengi) huteseka kwa sababu ya kutokujua/ujinga. Unajua nn bro; ujinga sio kutokuwa na hatia, ujinga ni makosa makubwa na upumbavu ndio dhambi kabisa.

Kuteseka kote ni kwa kusudi watu wajifunze. Hivyo unapokiri kwamba mtu fulani anateseka, usiishie kumuonea huruma saaana. Mwambie pia achukue jukumu la kujifunza kwa hicho kitu. Maana hata mbinguni hawawezi kaa wapumbavu.
Na karne ngapi zimepita mpaka leo na hatujajofunza ?

Mbona wachina walitawaliwa na wajapan vya kutosha na leo mchina anamzidi hadi mjapani kiuchumi ?

Kwanini mtu mweusi tu ndo anabaki kupigwa ?

Hatujinzi tangu biashara ya utumwa ikapita, ukoloni ukapita, hata baada ya uhuru wa bendera pia !
 
Angalia matajiri wakubwa hapa TANZANIA wanaoshikilia uchumi wa nchi, wengi wao utagundua si weusi kwa asili, walio wengi ni waarabu na wahindi ndiyo wanaoshikilia biashara kubwa kubwa hapa kwetu, sisi weusi tunaambulia kuwa madalali wao tu na biashara za kawaida sana.
Kuna kijana Mweusi kazipata juzi tu kutoka kwenye Janga kubwa la Ufukara lakini alipozipata kazi yake ilikuwa kuhakikisha Amewavua Chupi wanawake wote wa Bongo movie na Bongo Fleva..

Wakati Muhindi akiwa na pesa au Mwarabu atahakikisha anakaa na Mke wako huyo huyo hata kama atazaa watoto 20.

Sisi weusi ukizipata tu wanwake huko chini patakoma.
 
Inauma sana ukifikiria na iyo dini Cjui hata watu wanapata moyo wapi kuamini kuna Mungu angeweza kuruhusu Haya; angalia wayahudi kwa miaka michache tu wamejiinua na Taifa Lao lina nguvu, wakorea, wachina wote walitawaliwa lakini cc hata hasira Hamna tunasikia maneno tu ya kina Lumumba but no development. Inauma sana but mpk nakufa Africa haitokuwa popote.
Tatizo Ccm 😅😅
 
Broo niko Zanzibar for almost 5 years now.

Nakutana sana na watalii wazungu kutoka mataifa mbali mbali ulaya na kupiga now stori kadhaa.

Believe me wazungu wanasema "Africa is like a paradise".

Wanasema Africa ni nzuri mno kuliko ulaya, wanasema hali hewa tunayo nzuri, arable land ya kutosha, watu wake ni wakarimu bado tofauti na ulaya kila mtu yuko bize na mambo yake kiasi kwamba unaweza kufia ndani na upweke hata mwezi mzima na watu wasijue kuwa umefia ndani.

So, sisi hatujui kuwa tuko sehemu nzuri sana
Nadhani zanzibar inatembelewa kuliko Nchi nyingine africa.
 
Ecowas yuko tayari kushirikiana weupe kumtwanga Niger wakati wananchi wameyaunga mkono mapinduzi,Afrika bara lililoacha utamaduni wake na kufata tamaduni za weupe[emoji24][emoji24]
Ecowas wanaogopa na wao maana huingia madarakani kwa wizi wa kura na uchafu
 
Mstari unaomtenganisha mtu mweusi na nyani ni mwembamba sana. Wenyewe hatujikubali,hatuwezi andika maneno matano bila kuweka huko kiingereza. Mleta mada mwenyewe ana jina la mzungu. Sisi ni manyani yaliyochangamka.
Umemaliza Shughuli, mjadala na ufungwe
Mweusi ana jina la mweupe 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unamjua Mansa Kankan Mussa ?

Kamtafute alafu urudi tuendelee kuongea...;

By the way Mmasai kule Kijijini ambaye ana kila kitu (Chakula, Malazi na Mavazi) pamoja na kuvinjari na kuenjoy chochote anachotaka ni tajiri au masini ? Je wale red indians ambao walikuwa wanaishi sustainably (wana-fish what they want, hunt what they need na enjoy from dusk till dawn) je wao walikuwa matajiri au masikini
Hujanielewa na ndiyo maana unazungumzia individually.

Kama ni mansa kan kan musa namjua alikuwa mfalme wa MALI EMPIRE na ndiye mtu anae shikilia record ya kuwa mtu tajiri duniani kuwahi kuishi mpaka sasa.

Lakini hiyo ni kwa watafiti wa kileo, watu wa dini nao watasema ni MFALME SULEIMAN, so inabidi na akili ya ziada kupambanua mambo.
 
Back
Top Bottom